haina shida mkuu,sasa kwa mtazamo wangu hawa jamaa wamejificha migongoni mwa watu hivyo hata akipewa nafasi hawezi kuitumia ipasavyo kwa ama anahusika au jamaa zake wa karibu wanahusika,so suala hili bado kwake ni gumu kupambana nalo,btw let's wait and see kama atapewa hiyo nafasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.