Recent content by Mpeta Mwasa

  1. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Visual Basic Programming

    Speaking of witch, tell them you are gonna pay, you know time is money
  2. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Architecture Visualization in Tanzania(to all 3D Artists)

    Try to create streets with ten houses and lot of details, i need to know how good you are in visualization please.
  3. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Looking for 3D animation colleges in DSM

    Nafanya 3d animation catoon if you are ready my number is 0717238773 im freelacer.
  4. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Establishing VFX, CG studio...Film Making

    Toka 2015 ina maan mmeshafanya kazi nyingi embu tuonesheni angarau kazi moja tu ili tuvutiwe tuweze kujiunga na ninyi mkuu
  5. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania My 25 best Movies of all times

    KAMA UNATAKA KUTENGENEZA MOVIE NA UNAHITAJI WATU WA KUFANYA VFX NAOMBA UNITAFUTE KWA NAMBA HIZI 0717238773, 0755301782
  6. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania My 25 best Movies of all times

    JAMANI KAMA KUNA MTU ANATAKA KUWA CGI NA KAMA KUNA MTU ANATAKA KUWA ANIMATOR AU GAMES DEVELOPER NIFOLLOW NIKUPE MAWAZO PA KUANZIA.
  7. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Animation Industry: Kenya Vs Tanzania

    Huyu jamaa siyo mtanzania ni Mtu wa Bronx New york anaitwa Rudvan Maloku
  8. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Bongo movie aibu tena

    Kwa kuchangia kidogo hapo, mi nafikili hakuna ubaya kwenye hilo, kilicho muhimu kwetu ni kutengeneza filamu zenye ubora wa hali ya juu ili tuweze kupata kipato ambacho kitatufanya tuweze kushindana na hao wa mbele. Na nafikiri hiyo ndiyo sababu kubwa ya kuzuia filamu za mbele zisiingie kwa wingi...
  9. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania looking for a College that runs 3D animation course in tanzania

    Nakushauri ujifunze kupitia youtube hakuna chuo cha 3d animation hapa bongo labda vyuo vya graphics design. If you need more details call me via 0717238773
  10. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

    Upo mkoa gani sasa,
  11. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

    Wewe unataka kuwa video editor au unataka kuwa msanii?
  12. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

    Nipo Dom kwa sasa nina project nazifanya.
  13. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

    Yah ni wazo zuri sana kwani mi nina group la VFX kwenye facebook na pia ingekuwa vizuri na huku tufanye hivyo kama unavyosema hakuna ubaya ni tunaelimishana tu. Tupo pamoja sana lengo ni kuelimishana. Tengeneza hilo group kisha niunge fresh.
  14. Mpeta Mwasa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

    Hakuna tatizo ila kama unakuwa na tatizo unauliza kwani hapa wote tupo kujifunza zaidi.
Back
Top Bottom