Adhabu ya traitor ni kifo. Kushirikiana na beberu kuhujumu maslahi ya nchi ndo uzwazwa. Unazungumzia historia? Kila kosa na adhabu yake na huwezi kujitetea kwa makosa ya wengine. Afu unajiita akili kubwa. Takataka kabisa.
Nimetagakari sana, suala la baadhi ya wanasiasa kuendelea kuwa vibaraka wa makampuni ya kibeberu yenye nia mbaya ya kuharibu uchumi wetu kwa kutuuzia huduma na bidhaa substandard. Yet mtanzania ndiyo anakuwa wa kwanza kutoa mbinu na miongozo ya kuihujumu nchi yake. Zamani nilikuwa naelezwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.