An open letter to President Magufuli

An open letter to President Magufuli

Mkuu Bavaria,

Hilo wazo ni muhimu sana. Mara nyingi, wafanyabiashara wanaonekana kama adui wa maendeleo. They are guilty until proven innocent. Wawekezaji wa nje wanasaidiwa kwa kila kitu, lakini wa nyumbani wanadharauliwa. TRA wanasumbua sana wafanyabiashara WOTE, hata kama ni mlipa kodi wa kweli.

Wasijue kuwa wafanyabiashara ndogo wengi ndio watakuwa wachangiaji wakuu wa pato la taifa na kutoa ajira nyingi.
 
Wanaotoa mawazo mbadala kama haya ndo wanaitwa great thinkers. Wanaojibu hoja hiyo kwa hoja za kuboresha nao ni wajenga nchi. Bila shaka umesikika.
 
Khaswa hili la kodi ni muhimu sana watu wanakwepa sana kodi but duh kuna babu yangu alikuwa ananipa story jinsi walivyokuwa wanakwepa kodi ya kichwa ya mkoloni unaweza kucheka.Ifikie khatua kukwepa kodi iwe kama umeua mtu vile adhabu iwe kubwa.
 
Yaani Kingereza chako ni kichanga saana, una point ila hujui kingereza sijui kwa nini hukuandika tuu kiswahili. Ni nani alikudanganya kuwa unafahamu kingereza? sijawahi kuona kingereza kibovu hivi duniani, umejaribu ila huna vocablary za kutosha kitu ambacho kimekufanya uafnye direct translations.

WAJANJA WANAANGALIA UJUMBE SIYO LUGHA, KWA KUWA HILI SIYO SOMO LA LUGHA. You would rather keep your big mouth shut. Hiyo nyekundu inaandikwa VOCABULARY, got it?
 
I really like it when I read from someone who makes sense. Tokyo40 should be an advisor or even a minister in the Magpie ,sorry, Magufuli, government ( a bit irritated by him for a lacklustre cabinet line-up, though still supporting him).
Alas, No chance for these illustrious proposals to see the sunlight; CCM will never have them, or they will perish. CCM's capital is in the impoverished populace and in its ignorance. They will never let him do these. No.2....that includes all civil servants unless you factor in those who pilfer!
 
I really like it when I read from someone who makes sense. Tokyo40 should be an advisor or even a minister in the Magpie ,sorry, Magufuli, government ( a bit irritated by him for a lacklustre cabinet line-up, though still supporting him).
Alas, No chance for these illustrious proposals to see the sunlight; CCM will never have them, or they will perish. CCM's capital is in the impoverished populace and in its ignorance. They will never let him do these. No.2....that includes all civil servants unless you factor in those who pilfer!

Thank you for your kind support, Mkuu Sijali.

I agree with you that he shouldn't have appointed Ministers from the previous administration. Maybe he could not find suitable candidates or he was just paying back the political support they have given him behind closed doors. We will never know.

All I know is that, the country needs major reforms, especially in the economical, educational and judiciary sectors.
President Magufuli faces Herculean tasks ahead of him. The government must be able to change policies much faster to adopt to new economic realities. For example, it should reduce taxes when the economy slows down or when it's in a recession. At the moment they are only obsessed with collecting taxes, even though, the taxes they want the people to pay, is neither realistic nor business-friendly. The end result is rampant corruption taking root in the society.

A country with a mulfunctioning judiciary system will not attract any major investors. Most foreign investors have a clause in their contracts which forces the government to use foreign jurisdictions to settle business disputes. Local investors lack such priviledge to protect their investments and thus withhold expansion. Poor law enforcement just creates unfriendly business environment and stunts the economy.

For or businesses to grow, they need skilled labour. Our universities are producing graduates who are incapable of facing global challenges. There must be a match with what the economy needs and what is being taught in universities. At the moment, it is extremely difficult to find graduates with specialized skills such as taxologists, alternative energy technologists and engineers, international trade and law experts, trademark infringement experts and so on. Modern courses must be introduced in universities to cope with the ever changing global world needs.

If a tiny nation of Singapore can do it, why can't we?
 
Last edited by a moderator:
WAJANJA WANAANGALIA UJUMBE SIYO LUGHA, KWA KUWA HILI SIYO SOMO LA LUGHA. You would rather keep your big mouth shut. Hiyo nyekundu inaandikwa VOCABULARY, got it?


Mkuu Benmpo,


Nilipokuwa nasoma Kiingereza shuleni, nilimsoma Mark Twain. Alinifundisha kupambana na wajinga wajinga kwa maneno haya:


Never argue with stupid people, they will drag you down to their level, and then beat you with experience.
 
Last edited by a moderator:
Khaswa hili la kodi ni muhimu sana watu wanakwepa sana kodi but duh kuna babu yangu alikuwa ananipa story jinsi walivyokuwa wanakwepa kodi ya kichwa ya mkoloni unaweza kucheka.Ifikie khatua kukwepa kodi iwe kama umeua mtu vile adhabu iwe kubwa.

Mkuu guasa,

Ukwepaji wa kodi hautazuilika kama kodi wanazotozwa wafanyabiashara ni kubwa kupita kiasi na mishahara ya wafanyakazi wa serikali na wa kawaida ni mdogo kukidhi gharama za maisha.

Kodi wanazotozwa, kama wakilipa kihalali, biashara zitafungwa na ajira kupotea. Wateja wana uwezo mdogo wa kununua bidhaa za bei ya juu. Wanatozwa kodi ya manunuzi kama wanaishi ulaya wakati mishahara yao ni midogo.
 
Last edited by a moderator:
Wasijue kuwa wafanyabiashara ndogo wengi ndio watakuwa wachangiaji wakuu wa pato la taifa na kutoa ajira nyingi.

Maneno yako ni kweli kabisa, Mkuu Bavaria.

Kuna viwanda vichache sana vinavyoweza kutoa ajira nyingi katika uchumi wetu. Wananchi wengi wanapata ajira katika biashara ndogo ndogo za mitaani. Wakiwabana hao na kodi za kufilisi biashara, wananchi wengi watafukuzwa kazi kupunguza gharama.
 
Last edited by a moderator:
mkuu umenigusa kidogo kwenye chakula cha halal. sijawahi fika huko asia lakini ulaya na marekani halal food sio ishu tena siku hizi. ila sikujua kama huko japan kuna hilo tatizo hata hivyo. lakini hata hivyo kadiri siko zinavyozidi kusonga halal food itakuwa sio ishu tena popote pale duniani kwa sehemu kubwa.

Mkuu Abunuas,

Japan inabadilika. Sasa hivi ni rahisi kupata viza za kuishi kama umesoma hapa. Pia, wageni wameruhusiwa kupewa viza ili waanze maisha hapa kama ni wasomi. Haway ski kuzaa na hiyo ni sababu kubwa ya kuruhusu wageni kufanya kazi kirahisi.

Kwa vyovyote, itachukua muda sana kubadilika na kuwa Islam-friendly. Vyakula vinapatikana na supermarket za Kiislamu zinazouza vyakula zipo lakini ni chache kutokana na udogo wa wageni. Labda baada ya miaka 20, tutaona tofauti zaidi. Kwa sasa, nikitaka Nyama halal, ni Safari ya saa mawili na $100 za gharama, kila trip. Ndio maana wengi wetu hapa tupo "safarini".
 
Last edited by a moderator:
poleni sana.
naona huko bado kuna safari ndefu, hiyo naona ni tofauti na ulaya ambayo kwa sasa kila sehemu hasa kwenye majiji makubwa kuna halal staff kila kona.
anyway, is just a matter of time.
hata hivyo kwenye red sikuelewa kitu kwa kweli.

Mkuu Abunuas,

Japan inabadilika. Sasa hivi ni rahisi kupata viza za kuishi kama umesoma hapa. Pia, wageni wameruhusiwa kupewa viza ili waanze maisha hapa kama ni wasomi. Haway ski kuzaa na hiyo ni sababu kubwa ya kuruhusu wageni kufanya kazi kirahisi.

Kwa vyovyote, itachukua muda sana kubadilika na kuwa Islam-friendly. Vyakula vinapatikana na supermarket za Kiislamu zinazouza vyakula zipo lakini ni chache kutokana na udogo wa wageni. Labda baada ya miaka 20, tutaona tofauti zaidi. Kwa sasa, nikitaka Nyama halal, ni Safari ya saa mawili na $100 za gharama, kila trip. Ndio maana wengi wetu hapa tupo "safarini".
 
poleni sana.
naona huko bado kuna safari ndefu, hiyo naona ni tofauti na ulaya ambayo kwa sasa kila sehemu hasa kwenye majiji makubwa kuna halal staff kila kona.
anyway, is just a matter of time.
hata hivyo kwenye red sikuelewa kitu kwa kweli.

Typing error. Sorry Mkuu Abunuas

Nilimaanisha, Wajapani hawataki kuzaa. Huu mwaka wa 11, watu wanakufa zaidi kuliko kuzaliwa.

Kutokana na ugumu wa lugha yao, maisha ghali na Wajapani wengi kutojua Kiingereza, sidhani wageni wengi wanapendelea kuishi hapa. Waislamu wengi hapa ni Wapakistani na Waturuki.
 
Last edited by a moderator:
many thanks mkuu kwa ufafanuzi. nimejifunza kitu hapa.

Typing error. Sorry Mkuu Abunuas

Nilimaanisha, Wajapani hawataki kuzaa. Huu mwaka wa 11, watu wanakufa zaidi kuliko kuzaliwa.

Kutokana na ugumu wa lugha yao, maisha ghali na Wajapani wengi kutojua Kiingereza, sidhani wageni wengi wanapendelea kuishi hapa. Waislamu wengi hapa ni Wapakistani na Waturuki.
 
Back
Top Bottom