Recent content by MPENZI JINI

  1. M

    KIAPO CHA KUMKATAA LOWASA KAMA RASI 215 soma

    Edward Ngoyai Lowasa ni jembe hakuna mwingine ndani ya CCM hata CHADEMA.
  2. M

    ipi bora zaidi kati ya suzuki escudo v4 na toyota rav 4?

    Nyinyi hamjamjibu mleta mada. Ni hivi kaka gari zote ulizotaja ni imara sana,ila Suzuki escudo ndiyo zaidi either upate manual au automatic gear. Nazo zipo za aina nyingi kana JLX, HELLYHENSEN nk. Hiyo nyeupe ni suzuki grand vitara ambazo ni za kisasa alafu ni mayai sana.Mimi ninayakwangu ni...
  3. M

    Wapinzani wamtahadharisha Kikwete,wadai akiendekeza kejeli damu itamwagika

    Wewe umenena yale ambayo wanasiasa wa nchi nyingi wafanyavyo basda kuchafua hali ya amani. Na huo ndio ukweli wa mambo. Huwa nasema watanganyika bado hawajachoshwa na hawa wanasiasa wanafiki tena wazandiki kama hawa wa hapa kwetu, iwe ni chama tawala au pinzani. Siku ikitokea wamechoka basi...
  4. M

    Wafanyakazi wa benki

    Kama 15 hivi, naona ndo maana huyo jamaa kapagawa
  5. M

    Wafanyakazi wa benki

    Dah, asante sana kwa mchango,itabidi nifanye hivyo.
  6. M

    Wafanyakazi wa benki

    Habari zenu ndugu wanajamvi, mada yangu hii ya leo inatokana na matembezi yangu siku ya jana katika kutafuta mkate wa kila siku. Nikaingia benk ya nmb pale kariakoo kupeleka kacheck kangu, sasa baada yakufanya taratibu zote za kudeposit yule kijana alinihudumia akaniandikia nambayake ya simu ili...
  7. M

    Dismas Nkunda: Tanzania must learn to be good neighbour - The Observer

    Brother nkunda , hii oparesheni inayoendelea sasa ni sawa tu zinazofanyika nchi nyingine duniani kama israel,SA nk. Watanzania tumechoka kuishi na watu ambao hawastaili kuwa ndani ya ardhi yetu, kwani serikali yetu inapanga huduma kwa ajili ya watuwake sasa hawa ambao hawajaingia kihali afu...
  8. M

    SADC -Defence Force

    Hapo pk bado wazimu unamtesa kama vile mbwa ambaye amesha nyang'anywa mnofu alafu anabaki anabweka huku anakimbia. Apigwe tu mpaka mwisho.
  9. M

    Mimi na Vanesa Mdee

    Mpiganaji mzuri huwa hana papara, yeye ni kimyakimya hadi anamshinda adui. Iga mbinu za buibui. Napita tu wataalamu watanena kukusaidia.
  10. M

    Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

    Dah. Pole sana kaka hayo ndiyo majaribu ya dunia hii, na hicho ndicho kipimo cha mwanamke kama anauvumilivu na upendo wa kweli.
  11. M

    hodi hodi, mpya kabisa

    Hodi wana jf ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia thread za watu mbalimbali na kuvutiwa sana. Leo nimeamua kukata shauri ili na mimi niwe niweze kuwa mchangiaji pia hata kuleta mada ambazo zitawajenga na wengine.
  12. M

    M23 waangamizwa na majeshi ya umoja wa mataifa huko drc

    Ngoja tusubirie wenye taarifa zaidi waje watuambie.
Back
Top Bottom