KIAPO CHA KUMKATAA LOWASA KAMA RASI 215 soma

KIAPO CHA KUMKATAA LOWASA KAMA RASI 215 soma

Chunga weye,ogopa weye
mzee wa visasi ogopa weye anaweza kukutafuta huko mafichoni uliko ili
ulipe maneno yako weye lakini samaki mmoja katia kapu akiwa ameoza basi
jua katika hilo kapu samaki wote wameoza

------- zenu wote munao mshabikia lowassa amewafanya mandondocha na hivyo vi sent sent vyake
 
Huyu katokea wap kwanza kajifunze kiswahili ndo uje na ujinga wako huo
 
Nchi yetu ikiongozwa na Mh Lowasa itanyooka kutakuwa na msimamo mzur wa nchi,tunahitaji kiongozi jasiri na mwenye msimamo wa jinsi ya kuiendesha nchi vyema..hivyo vijana wote tusikubali maneno ya vijana wengine yatupotoshe tuangalie tunataka nchi iongozwe na Rais mwenye maamuz na msimamo
 
hapa atakuja sofia chui aseme Lowasa ni Jembe na anajua kulima tena ni mwanaume wa shoka
 
Ma presdent is lowasa 2015 to 2025 no one lyk lowasa kwa sasa tusidanganyane tuache mihemko
 
umetoa post kama unaota, hata muandko wako nahofia unao mchafu, maana hata spelling hujui, r unaibadili kuwa l, a unaigeuza iwe h??? Rudi shule kasome upya
 
Ni kweli kuwa Mh Lowasa ndio kiongozi mzuri wa nchi hasa kwa sisi vijana hivyo lazima tuchague raisi mwenye maamuzi ya busara sio bora raisi.Hii ndo Tz tuitakayo nchi iwe na kiongozi mwadilifu
 
Back
Top Bottom