Mimi na Vanesa Mdee

Mimi na Vanesa Mdee

Mpiganaji mzuri huwa hana papara, yeye ni kimyakimya hadi anamshinda adui. Iga mbinu za buibui. Napita tu wataalamu watanena kukusaidia.
 
Amejaa tele clouds media mikocheni,we nenda tu siku yoyote sa 7 mchana wanakuwa kanteen.
then ha date na Millard,ni mali ya Dimpoz hiyo(wanafanya siri sana).
na kasoro zake kimaumbile ni kafupi afu kanaumbo la kitoto toto,analefushwa tu na pic.
 
Kafupi mno, halafu kama kamekomaa komaa hivi. Sio kazuri kihivyo. Na sio kabaya sana.
 
then ha date na Millard,ni mali ya Dimpoz hiyo(wanafanya siri sana).

Mh wewe ndo huyo vannesa nini? Manake hata yanayofanywa kwa siri sana unayajua! Au unamshikiaga mguu wakat ana michwa?

btw hivi kama mtu si mke na mume wala hawako kama bf na gf unatumia kigezo gan kujua kama hao watu wanafanyana?
 
bwana ww utaweza mambo ya pesa hayo na hivyo vijishiling vyako hata ukinunua pipi chenchi hairudi chakufanya nenda kanunue deto au jamaa kitakachoendelea unajua
 
Amejaa tele clouds media mikocheni,we nenda tu siku yoyote sa 7 mchana wanakuwa kanteen.
then ha date na Millard,ni mali ya Dimpoz hiyo(wanafanya siri sana).
na kasoro zake kimaumbile ni kafupi afu kanaumbo la kitoto toto,analefushwa tu na pic.

kwa hiyo lazymate mimi almost 6ft tall nitakuwa nampeleka 'shule' tukitembea,!!!
nikirudi daslam nitajisogeza maeneo yao ,nikajipime ubavu
 
Mh wewe ndo huyo vannesa nini? Manake hata yanayofanywa kwa siri sana unayajua! Au unamshikiaga mguu wakat ana michwa?

btw hivi kama mtu si mke na mume wala hawako kama bf na gf unatumia kigezo gan kujua kama hao watu wanafanyana?

ingekuwa Heaven on earth ndo Vanesa Mdee angenishanipa hints...huyo lazymate wangu...tuna masehemu yetu huwa tunakutana
 
Last edited by a moderator:
ingekuwa Heaven on earth ndo Vanesa Mdee angenishanipa hints...huyo lazymate wangu...tuna masehemu yetu huwa tunakutana

hapo umechanganya jangwa na dunia mkuu!

ila swali langu linabaki, kama mahusiano ni ya siri ameyafahamu vip kama sio muhusika? Hakuna uhakika wala ushahid wa kuthibitisha zaid ya kusema ni SIRI! heaven on desert
 
Last edited by a moderator:
mmmnnhh....ni karembo kweli aise.
 
ili mradi hakuna pete kidoleni, i still have a chance

Huo ndiyo Uanaume, IF U LOVE HER , FIGHT FOR HER, Bado unayo chance kubwa, huyo Miled Ayo, ndiyo nani nenda mface na mwambie nia yako kwake, sikiliza atakachokwambia, kwani umaarufu ndiyo unaoa? Kuwa mwanaume rijali pigana unaweza ukamchukua kiasi wengine wakabaki wanashangaa, tena ngoja nikwambia siri kubwa ya mwanamke, ni kupay attention tu kwake, hata kama huna pesa nyingi, basi utapendwa wewe mpk ushangae. Do It utakuja kuniambia.
 
Ni mbinti wa kawaida sana ila ndo uzuri wa mtu uko machoni kwa muangaliaji..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
hapo umechanganya jangwa na dunia mkuu!

ila swali langu linabaki, kama mahusiano ni ya siri ameyafahamu vip kama sio muhusika? Hakuna uhakika wala ushahid wa kuthibitisha zaid ya kusema ni SIRI! heaven on desert

hahaaa naomba umwambie kalou huyo aliomrefer ni watu wawili tofauti bana............

watu wamefanya siriiiiiiii sana swali yeye kajuaje!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom