Barua ya wazi Kwa mkuu wa wilaya ya Ubungo, Mkurugenzi na afisa elimu.
Sisi ni wazazi wa watoto wanaosoma shule ya msingi Msumi.
Ndugu wakuu wetu tunahitaji Sana msaada wetu kuhusu upotevu wa pesa zetu ambazo tulichangishwa na Kamati ya makande inayosimamiwa na Kamati kuu ya shule chini ya...
Mbona sijaona Zitto akijibu hja tuhuma zidi ya kusema huwa hachukui posho.... Convince us man, mwenzio katoa points na naambiwa wewe ndo msomi zaidi, how comes msomi anashindwa kuongea points za msingi? Basi ni bora ungenyamaza tungeona Lema lropokaji tu. Maadamu umeamua kujibu, basi jibu hoja....
Sijaona kuhusika kwa CHADEMA hapa. hizo kofia zinzuzwa barabarani tena 3,000/- tu. Mtu yeyote hata awe sisiemu anaweza kununua na kufanya hujuma. Pia si kila anayevaa kofia ya CHADEMA NI MWANA chadema, KAMA AMBAVYO WAPO WANAOVAA T SHIRTS za kijani lakini si wana sisiemu. Let us remember this is...
Binafsi nilijua itakuwa hivyo kwani Hakimu kaajiriwa na Rais na Rais alisema kule IGUNGA kuwa ni nani aliyemvua madaraka Kafumu... Anamshangaa.
NCHI HII!!!!
Sasa CHADEMA imetoka wapi hapa??? me naona ni masuala yanayohitaji mabadiliko kiukweli hasa kwa mtu mwenye sound mind, sijaona hoja yako hata kidogo, be fact based man..........
Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....
1. Haiwezi kulipa waalimu
2. Haiwezi kulipa madaktari
3. Haiwezi kuwajibisha mafisadi, inaishia kuwatetea
4. Haiwezi kutetea wanyonge zaidi ya kuwasaliti na kuwatekeleza
5. Haiwezi hata kulitumia vema jeshi la polisi
6...
Kufuatia uzandiki huu kwa MwanaHalisi, ninawashauri wanahabari wazalendo wa Taifa hili wamlinde Kubenea na gazeti lake kwa kugoma kuandika mazuri yote ya Serikali kwani serikali inaingilia uhuru wa vyombo vya habari na haitaki kukosolewa. kitu ambacho nimekiona hapa ni kwamba mabavu ndiyo...
Watanzania wameamka sasa, tuendelee kuwahamasisha ndugu zetu, jamaa na marafiki walio mbalia wanahadaiwa na tshirts na kofia
"Choose GWANDA or die in GAMBA"
Wapo wanaodai kwamba Gaddafi ni "shujaa" na ni "kamanda" na vyovyote vile ambavyo angeweza kuitwa! Sawa! Lakini lazima watambue kwamba kuna mambo kinyume na "sheria" na "kanuni" za kimaumbile binadamu akiyafanya anakosa "ubinadamu" na anakuwa kama "mnyama" na au zaidi ya "mnyama". Na wale wote...
Mpaka sasa CCM wametuia yafuatayo ili kushinda igunga
1. Kumtumia rais mstaafu (Mkapa)
2.Usalama wa taifa
3.Polisi
4.Bakwata
5.Mawaziri
6.Rostam
7.kuhonga chakula kwa wanaigungai
8.Kuzuia wapiga kura wasio na vitambulisho kwa baadhi ya maeneo esp kwenye upinzani
9. Kutumia zaidi ya Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.