ndugu wakati upo hapo nyumbani chrmsha maji kiasi lira mbili .weka kwenye ndoo .jifunike vuta mbune kwa pua .mpaka unasikia uneingia ndani. vuta kwa ndomo mpaka kwenye mapafu..kamwa kwa dakika asubuhi na jioni. hata kama corona kwa umbo lake la mafuta litayayuka. hii dawa nzuri. halafu chukua...
ndugu mimi nataka diesel engine ya aina ya amec hp24 .hii kwa ajili ya kuendesha pump ya kumwagilia maji shambani. naomba unijulishe kama naweza pata
Sent using Jamii Forums mobile app
ukweli ni jambo la serikali kulishughulikia. ugonjwa haina kuchagua si kiongozi au au raia Wa kawaida au mkulima au tajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu naomba kuuliza kuhusu bwala la mtera .matangazo wanasema limejaa maji na imefunguliwa milango ya kupunguza .
walimaji wengi wameathirika katika kilimo cha vitunguu. lakini kuna ambao hatujakata tamaa .he mapunguzo haya yataendelea mpaka lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
TANZANIA TUMEJIPANGAJE NA COVID-19 (corona virus)
Tukiangalia habari nchi nyingi zenye uwezo mkubwa wa teknologia na kisayansi wanachukua hatua kubwa na kujikinga au kujitayarisha kwa mlipuko wa hiki kirusi hatari na pamoja kuzuia wageni kutoka China..
Sent using Jamii Forums mobile app
ilikuwa haina haja kunfunga .ila kumuelimisha .hata vitabu vyote vya quraan ukivichana bado imehifadhiwa kwenye vifua bus waumini. Alhamdulillah
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.