CORONA: Mambo ya kuzingatia wakati wa kununua na matumizi ya hand sanitizers (Viua vijidudu)

Trubarg

JF-Expert Member
Jan 8, 2020
4,253
6,889
IMG_20200315_133244.jpg
Sanitizer Ni Aina ya kemikali inayotumika katika kuua vijidudu Kama bacteria, fangasi, virusi n.k. Hutumika pia maeneo mbalimbali Kama viwandani, hospitalini na hata kwenye maabara.

Sanitizer huwekwa michanganyiko mbalimbali ikiwemo marashi, rangi n.k. Component muhimu inayoua vijidudu Ni alcohol au ethanol. Kiwango Cha alcohol kinachoweza kuua vijidudu kwa ukamilifu Ni kuanzia asilimia sabini (70% vol aclohol). Kwa hiyo unapoenda kununua sanitizer Cha muhimu kuangalia ni kiwango Cha alcohol na si rangi Wala harufu (marashi) Wala Bei.

MAMBO YA KUZINGATIA KUHUSU SANITIZER
1. Sanitizer haifanyi kazi kwenye uchafu. Hakikisha unanawa mikono yako au kuosha sehemu unayotaka kusanitize na uikaushe kabla ya kuweka sanitizer.

2.Kama unatumia kwenye mikono hakikisha unaisugua kwa muda wa sekunde ishirini ili kuifanya ipenye vizuri kwenye viganja vyako.

3. Konyagi/ kvant/Kitoko haitoshi kusanitize mikono yako kwani kiwango chake Cha alcohol/ ethanol hakifiki asilimia 70. Nyingi Ni chini ya asilimia 40.

4. Sanitizer pekee haitoshi kuondoa virusi,kunawa mikono kwa sabuni na maji ya kutosha kunaweza kukusaidia kukuokoa wewe na familia yako.

0D2480C2-FE10-4077-93F6-4980E6833FF1.jpeg
 
Hali ni mbayaa....

Labda wa afrika tuwe naturally immunized from the virus..

The virus is f kng deadly in 24 hours SPAIN vifo Vipya 152.... Nchi nzima iko locked down...

Usifike tu!

Let us PRAY
 
Hali ni mbayaa....

Labda wa afrika tuwe naturally immunized from the virus..

The virus is f kng deadly in 24 hours SPAIN vifo Vipya 152.... Nchi nzima iko locked down...

Usifike tu!

Let us PRAY
Yah hatari
 
Hali ni mbayaa....

Labda wa afrika tuwe naturally immunized from the virus..

The virus is f kng deadly in 24 hours SPAIN vifo Vipya 152.... Nchi nzima iko locked down...

Usifike tu!

Let us PRAY
Huu sio ugonjwa wa nchi maskini.
Nchi maskini kupata huu ugonjwa ni kiherehere chao tu kutaka kujikomba kwa mabeberu.
India ni nchi maskini na pia ni jirani wa karibu na China , ila kwa kua sio mpango wa Mungu kwa nchi maskini kupata huu ugonjwa ndio maana mpaka leo hakuna ripoti hata ya mdosi mmoja kuugua hii gonjwa.
 
Huu sio ugonjwa wa nchi maskini.
Nchi maskini kupata huu ugonjwa ni kiherehere chao tu kutaka kujikomba kwa mabeberu.
India ni nchi maskini na pia ni jirani wa karibu na China , ila kwa kua sio mpango wa Mungu kwa nchi maskini kupata huu ugonjwa ndio maana mpaka leo hakuna ripoti hata ya mdosi mmoja kuugua hii gonjwa.
Kuna mdosi moja alitoka kwao India na kujikuta akiugulia Rwanda, aliyekutwa na corona huko Kigali sio Mnyarwanda bali Raia wa Kigeni kutoka India.
 
Huu sio ugonjwa wa nchi maskini.
Nchi maskini kupata huu ugonjwa ni kiherehere chao tu kutaka kujikomba kwa mabeberu.
India ni nchi maskini na pia ni jirani wa karibu na China , ila kwa kua sio mpango wa Mungu kwa nchi maskini kupata huu ugonjwa ndio maana mpaka leo hakuna ripoti hata ya mdosi mmoja kuugua hii gonjwa.
Do your research before going viral into social media, muhindi ndo kaugua Rwanda toka kwao India.
 
Sanitizer Ni Aina ya kemikali inayotumika katika kuua vijidudu Kama bacteria, fangasi, virusi n.k. Hutumika pia maeneo mbalimbali Kama viwandani, hospitalini na hata kwenye maabara.

Sanitizer huwekwa michanganyiko mbalimbali ikiwemo marashi, rangi n.k. Component muhimu inayoua vijidudu Ni alcohol au ethanol. Kiwango Cha alcohol kinachoweza kuua vijidudu kwa ukamilifu Ni kuanzia asilimia sabini (70% vol aclohol). Kwa hiyo unapoenda kununua sanitizer Cha muhimu kuangalia ni kiwango Cha alcohol na si rangi Wala harufu (marashi) Wala Bei.

MAMBO YA KUZINGATIA KUHUSU SANITIZER
1. Sanitizer haifanyi kazi kwenye uchafu. Hakikisha unanawa mikono yako au kuosha sehemu unayotaka kusanitize na uikaushe kabla ya kuweka sanitizer.

2.Kama unatumia kwenye mikono hakikisha unaisugua kwa muda wa sekunde ishirini ili kuifanya ipenye vizuri kwenye viganja vyako.

3. Konyagi/ kvant/Kitoko haitoshi kusanitize mikono yako kwani kiwango chake Cha alcohol/ ethanol hakifiki asilimia 70. Nyingi Ni chini ya asilimia 40.

4. Sanitizer pekee haitoshi kuondoa virusi,kunawa mikono kwa sabuni na maji ya kutosha kunaweza kukusaidia kukuokoa wewe na familia yako.

View attachment 1388940
Vipi medicated soaps hazisaidii pia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sanitizer Ni Aina ya kemikali inayotumika katika kuua vijidudu Kama bacteria, fangasi, virusi n.k. Hutumika pia maeneo mbalimbali Kama viwandani, hospitalini na hata kwenye maabara.

Sanitizer huwekwa michanganyiko mbalimbali ikiwemo marashi, rangi n.k. Component muhimu inayoua vijidudu Ni alcohol au ethanol. Kiwango Cha alcohol kinachoweza kuua vijidudu kwa ukamilifu Ni kuanzia asilimia sabini (70% vol aclohol). Kwa hiyo unapoenda kununua sanitizer Cha muhimu kuangalia ni kiwango Cha alcohol na si rangi Wala harufu (marashi) Wala Bei.

MAMBO YA KUZINGATIA KUHUSU SANITIZER
1. Sanitizer haifanyi kazi kwenye uchafu. Hakikisha unanawa mikono yako au kuosha sehemu unayotaka kusanitize na uikaushe kabla ya kuweka sanitizer.

2.Kama unatumia kwenye mikono hakikisha unaisugua kwa muda wa sekunde ishirini ili kuifanya ipenye vizuri kwenye viganja vyako.

3. Konyagi/ kvant/Kitoko haitoshi kusanitize mikono yako kwani kiwango chake Cha alcohol/ ethanol hakifiki asilimia 70. Nyingi Ni chini ya asilimia 40.

4. Sanitizer pekee haitoshi kuondoa virusi,kunawa mikono kwa sabuni na maji ya kutosha kunaweza kukusaidia kukuokoa wewe na familia yako.

View attachment 1388940
15845093271075684683153138195914.jpg
MKUU, HII SPIRIT HAIWEZI KUWA MBADALA WA HAND SANITIZER??????
 
Back
Top Bottom