Recent content by Mpenda CCM

  1. M

    Pigo jingine kwa JK: Mzee Mwinyi apigilia msumari suala la kuchinja

    Nani kakwambia kuwa CCM inadharau wazee? Mangula na Msekwa ni vijana? Haya Mwinyi kasema, nendeni mkatekeleze badala ya kukaa kulaumu chama chetu humu.
  2. M

    Sitta kupewa uwaziri ili amalizwe

    Hizi porojo sijui huwa mnaziokota wapi!
  3. M

    Karibu 47% ya wabunge kuwa si wawakilishi wa wananchi!

    viti maalum visingekuwepo huyo mdee angeanzia wapi?
  4. M

    Dr.slaa : Uteuzi wa kiongozi wa kambi ya upinzani chadema

    Mbowe vs Kabwe 10 rounds Entrance: Free Venue : Mjengoni Kazi mnayo
  5. M

    GE2010 Zitto kabwe kawasaliti CHADEMA kigoma?

    Na ndio maana Zitto alishaanza kutaka kuhama jimbo kwa kuwa alijua kule hapakaliki, bahati yake kapita...huko kwingine angepata aibu.
  6. M

    GE2010 Msaada tafadhali

    Ni nguvu na kazi ya ziada:):tape:
  7. M

    GE2010 Ushauri wa kizushi

    Tunaelekea ukingoni kwa hiyo kwa wale waliofurahi tumieni hii weekend kwa hilo ila tu Jumapili mpumzike, kwa wale wenye huzuni fanyeni maombolezo ila tu muinue tanga Jumapili, kwa msio na mwelekeo jichanganyeni kotekote... Cha muhimu Jumatatu wote tutoe 100% kwenye majukumu yetu. Hii ngoma...
  8. M

    GE2010 Wageni kwenye sherehe za kuapishwa wamealikwa na NEC na Kikwete?

    Tangu siku ya uchaguzi ilikwishapangwa leo ndio siku ya kumwapisha isipokuwa kama lingetokea tatizo kubwa sana. Sasa kwa sababu hapakutokea tatizo lolote la ajabu, maandalizi yakaendelea. Maandalizi hufanywa na wizara na sio ikulu. ASIYEJUA MAANA, HAAMBIWI.......
  9. M

    GE2010 Wageni kwenye sherehe za kuapishwa wamealikwa na NEC na Kikwete?

    Wageni hao hukaribishwa na waziri wa mambo ya nje anayemaliza muda wake kwa niaba ya rais. Kumbukeni hakuna wakati wowote ambapo nchi inakuwa haina rais. Kwa hiyo hata kama hiyo jana angetangazwa Slaa, wangekuja kama walivyokuja. Sio wageni wa Kikwete, ni wageni wa rais.
  10. M

    Viti maalumu (women special seats)

    ndio maana yake
  11. M

    GE2010 Ninayatambua na kuyakubali matokeo yanayotangazwa na tume

    Uteuzi wa CHADEMA viti maalum napo ni ufisadi mtupu, mtaanza kugombana kuanzia hapo....yetu majicho....
  12. M

    GE2010 Ninayatambua na kuyakubali matokeo yanayotangazwa na tume

    Unaona sasa, huyo jamaa yuko fiti. Kajilipie gharama za kulazwa Milembe ndugu.....
  13. M

    GE2010 Alichokiomba Dr Slaa ni kusitisha kutangaza matokeo, sio Umwagaji damu

    maneno yako yamejaa kejeli, dharau na matusi hasa kwa kina mama. Hivi ulizaliwa na baba yako au?
  14. M

    GE2010 Ninayatambua na kuyakubali matokeo yanayotangazwa na tume

    Hitler lived 65 years ago! We talk the present. Kila nabii (au hata shetani) na wakati wake..........
Back
Top Bottom