Habari zaleo ndugu zangu, kuna mtu Facebook anajiita bidhaa mtandaoni anadili na kuuza furniture,mikoba na nguo na namba za cm kaweka jamani nitapeli balaa,mi ni mmoja ya waliolizwa, lkn nashangaa anajiamini nini namba habadilishi na kaisajili kwa jina hilohilo la bidhaa mtandaoni, naomba aje...