Kuna kitu kinanishangaza hapa,hivi kama shida ni mhe.Tundu Lissu kwanini wasiachwe wanasheria wenyewe wakaamue.si hawatamchagua tu kama hawamtaki?shida iko wapi?woga wa Nini? Kweli Tundu Lisu ni shida,yaani wizara inahaha kwasbb yake?naamini hata mahakamani hawatafanikiwa kwani wamezoea...
Mrumi unafikiri chini ya kiwango mno,hii ni Jr ndg siyo vigroup vyenu hovyo vya WhatsApp ambako pumba zote ni point.Funga mdomo huna radha kwa utetezi wa hovyo kabisa
Wanajamii forum wenzangu,,naomba msaada wa kumpata MTU anayeitwa Menard mwaisela.Kwa Mara ya mwisho tulionana mwaka 1998.Ni MTU muhimu sn kwenye maisha yangu lkn sina mawasiliano naye na hatujawahi kuonana tangu wakati huo.Tafadharini mwenye taarifa zake anisaidie
Wilaya ya Mwanga leo tutakuwa na ugeni katika kata ya Lembeni ambapo mhe.Waziri mkuu mstaafu mhe.Edward Ngoyai Lowassa atakuwa akimnadi mgombea Udiwani katika kata hiyo Kamanda Lembrus Mchome kuanzia SAA NNE asubuhi,tafadhari mwambie na mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.