Mjadala wa Bashite wazidi kutanuka

Mjadala wa Bashite wazidi kutanuka

Kama kuroga ni ishu na ww kamloge Magu atengue kauli yake amg'oe Makonda....Makonda ni lulu kwa vijana wa sasa hasa mateja....lazima tumuunge mkono hasa sisi wenye uchungu na nguvu kazi.
Hizo harakat anaweza kuzifanya akiwa chini ya mkuu wa mkoa mwenye vyeti halali , yy akabaki Kama raia huru Na kuendeleza mapambano maana Kuna watu walishaanza harakati za kupambana Na madawa kabla yake Na sio viongozi wa serikali mf.Karapina
 
Hizo harakat anaweza kuzifanya akiwa chini ya mkuu wa mkoa mwenye vyeti halali , yy akabaki Kama raia huru Na kuendeleza mapambano maana Kuna watu walishaanza harakati za kupambana Na madawa kabla yake Na sio viongozi wa serikali mf.Karapina

Yaani muuza sumua anakataza sumu?.Karapina aliwataja akina nani wakuu ambao kutajwa kwao kulitetemesha nchi?.
 
Yaani muuza sumua anakataza sumu?.Karapina aliwataja akina nani wakuu ambao kutajwa kwao kulitetemesha nchi?.
Hahahaha sasa baada ya kuwataja kimefuata nini?, badala yake Ni kashfa Na fedheha zimempata..!


Anyway nlikuwa najarbu kufikisha ujumbe kuwa kuongoza harakati hizo si lazima kuwa mkuu wa mkoa, Na hata akitumbuliwa mtaendelea kumsapot tu sisi hatutapinga harakati yoyote..!

Kikubwa Ni vyeti tu, huyo Ni kiongozi lazima awe safi..!
 
Kwanza kabisa Makonda amejihusisha na jambo nyeti sana kitaifa na kimataifa,ni lazima mtu kama huyo tujiridhishe pasipo shaka juu ya uadilifu wake, tusipofanya hivyo tunaweza kukuta kamanda wa vita ni mhalifu namba moja na hivyo matokeo ya vita hii yatazaa vita kubwa zaidi ktk jamii.

Leo taarifa zilizoanza kupatikana tokea asubuhi zinaonyesha pasipo shaka kuwa Makonda anauhusiano wa karibu sana na wauza madawa wakubwa ambao kwa kupoteza ushahidi yeye mwenyewe aliwataja ktk list ya pili na akawashomoa fasta.

Kinachofanywa na mitandao ya kijamii ni kitu ambacho kilitakiwa kifanywe na usalama wa Taifa ambao tunawalipa Misha hara.

Tusipoteze mwelekeo hapa tuna dili na bonge la mhalifu issue ya vyeti ni ndogo yapo makubwa
 
Hahahaha sasa baada ya kuwataja kimefuata nini?, badala yake Ni kashfa Na fedheha zimempata..!


Anyway nlikuwa najarbu kufikisha ujumbe kuwa kuongoza harakati hizo si lazima kuwa mkuu wa mkoa, Na hata akitumbuliwa mtaendelea kumsapot tu sisi hatutapinga harakati yoyote..!

Kikubwa Ni vyeti tu, huyo Ni kiongozi lazima awe safi..!

Basi kaa usubilie vyeti ya Makonda atawaleteeni.
 
Hili mkuu nshalisemea kwa mara nyingi sana....hasa kwa watu kama nyie....tunaposema mtu anatumia vyeti ambavyo sio vyake we mean kasomea umakenika but anafanya kazi muhimbili na hana taaluma hiyo,Mjenzi wa makaburi anaenda kujenga madaraja hii ndo haitakiwi...kwa Makonda ni ishu ya kawaida tu....hakunaga sehemu walishaitisha interview ya ukuu wa mikoa au wa wilaya au ubunge,hii ni kuchaguliwa au kuteuliwa tu.Double standard yako haina maana hapa mkuu.

Watu wanaposema double standard wanamaanisha hivi...soma hapa chini
... Unaumbuka yule mteuliwa wa rais JF ilivyomtuhumu kuwa ni meneja wa hotel sinza?....JPM akamsimamisha na vyeti vyake ikulu na mjadala ukaisha.
Sasa why difficult Makonda kuweka vyeti vyake hadharani?

kama ulivyoona hapo juu...kinachohitajika is as simple as that action from JPM or whoever might be appropriate to do that...PERIOD

Atoke clean and straight. Kama alifanya kosa lijulikane na kama sio kweli kwamba hana kosa ijulikane. Kama ana kosa, na kama Rais anampenda sana, yeye Rais ana uwezo wa kumsamehe na kuendelea kumpa Madaraka anavyoona inafaa na kwa kutumia jina litakalokuwa limethibitika.

Haya mambo ya funika kombe mwanaharamu apite, yametugharimu na yanaendelea kutugharimu sana kwenye Taifa hili.

NB: Hakuna mtu anayepinga good intentions za viongozi kupigana na madawa ya kulevya
 
Mm sjaisoma yote ila nilipoona jina la makonda kutajwa tu nikajua ndo wale wale wapiga vuvuzera....hivi ata kama vyeti sio vyake na hana elimu hiyo mchango wake hauonekani?...tumekuwa na wasomi wangapi na hawajafanya lolote kwa taifa hili....tumewapeleka bunge la katiba badala ya kujadili rasimu wakatoka nje elimu yao wameitumia vipi?....Wewe kama unaona kalamu yako inakusahidia sana kawaandikie Chadema sera za kuombea kura 2020,sio cheap reason kama hii ishu ulokuja nayo....hii nchi kuishi kwa madili muache.Hatutaki madawa full stop na tunamtaka makonda full stop.
Hapana mkuu huwezi kusema hivyo! huwezi kwa mfano ukaiba kisha ukasema kwamba, unafanya mema kwa kusaidia wasiojiweza. Kosa ni kosa hata ungetenda jema, watu waseme umetenda kosa.
 
Mie naomba nijibu kwa nini sasa na siyo hapo mwanzo:-

Mwanzoni alikuwa jembe kwelikweli, kila mtu alimsifu. Na mimi nilimsifu.

Lkn alipoanza kuonesha dharau kwa watumishi wengine tena wenye heshima kubwa nchini, hapo ndo akaanza kuharibu. Kifupi alijaa sifa, akasahau kutenda kwa staha. Mfano aliwahi kuwasema vibaya watumishi ofsini kwake kuwa ni mizigo, akisifia wanne. Hii siyo njema kwa neneja. Pia alimsema vibaya kamanda sirro, hakuonesha kumpa heshima yake kama mzazi japo alikuwa boss wake. Hii ni kibri

Pili ni namna alivyoshughulikia suala la madawa ya kulevya. Kupiga vita ni jambo ambalo kila mmoja analitaka, lkn hakutumia washauri wake vizuri ili atende kwa usahihi. Hapo ndo kila mtu akaanza kutafta yeye ni nani. Ndo hivyo limepelekea yote hayo

Tatu ni tuhuma za utajiri wa muda mfupi lkn pia na aina ya marafiki zake ambao wanatia shaka siyo leo tu bali kwa muda mrefu.

Yote matatu yamesababisha kila mtu kutafta hbr za ziada kujua makonda ni nani. Ndo hivyo sasa atusaidie tumjue
 
Ninawaza kama wewe, ila sioni jukwaa huru kupata majibu ya maswali yote haya uliyouliza.

Marehemu Mtikila angekuwepo nadhani angeshafungua shauri mahakama imlazimishe Paul ahakikiki vyeti vyake kuleta utulivu nchini. Tafadhali ajitokeze msamaria mwema (wanasheria wetu) atusaidie kwenda mahakamani au sehemu inayostahili ili haki itendeke kwa mtuhumiwa na watuhumu.
Hata Mtikila angekuwepo amshtaki isingesaidia maana haendagi police hata akiitwa wala mahakamani wala bungeni huyo anajiita Mungu wa Dar es Saalam yuko juu ya sheria zote za nchi na hakuna wa kumfanya chochote.
 
Mjadala mzuri lakini watu wanajibu ki hisia sio ki akili UCHAMA WA WATU UNAHARIBU MADA
 
Hapana mkuu huwezi kusema hivyo! huwezi kwa mfano ukaiba kisha ukasema kwamba, unafanya mema kwa kusaidia wasiojiweza. Kosa ni kosa hata ungetenda jema, watu waseme umetenda kosa.

Unajua makonda ni jembe....na ili tuipate ile ladha mnayoitaka na kuipigia makelele majukwaani lazima tu tupate watu kama yeye,na kama akitokea wa kumwangusha au kumpinga kuusiana na hili lazima tupambane nao kupitia sehemu kama hizi.JUKWAANI.
 
Back
Top Bottom