Advanced Excel for Professional & Tally ERP 9

Advanced Excel for Professional & Tally ERP 9

Kwa professional kozi za ICT karibuni sana. Waweza fika ofisini kwetu kujua utaratibu wa kozi na muda wake.
 
Kampuni ya "The Computer Skills" iliyobobea kwenye ufundishaji na ushauri wa kitaalum kwenye nyanja za ICT, itaendesha mafunzo zifuatazo;

1. Advance Excel for Professional
Muda: wiki moja, 12/12/2016 -16/12/2016
Saa: 18:00 - 20:00
Fee: laki tatu na nusu (Tzs350,000/=)
location: Makumbusho Business Complex, 2nd floor
Support: Utapewa e_manual, 8GB Flash Disk,Note book & 3 months of concultant for free
Walengwa:Accountant,Auditors,HR,marketing,program managers and other stake holders

2. Basic & Advanced Tally ERP 9
Muda: wiki mbili, 05/12 -16/12/2016
Saa: 18:00 - 20:30
Fee: laki tatu na nusu( Tzs 350,000)

location: Makumbusho Business Complex, 2nd floor
Support: Colored manual, 8 GB flash,Note book and
refreshment
Walengwa: watumiaji wote wa TALLY
NOTE: kupata kozi kontent wasiliana nasi.

Usajili umefunguliwa tiari;
wasiliana nasi au fika ofisini kwetu;
Simu: 0717 718 519 / 0762 192 532
email: training@comskills.co.tz
Web: www.comskills.co.tz
Karibuni sana.
naweza kupata course contents please ya masomo ya tally na excell email yangu ni gwamakamwakyambiki3@gmail.com
 
naweza kupata course contents please ya masomo ya tally na excell email yangu ni gwamakamwakyambiki3@gmail.com
Asante sana ndugu "buffaro89", tumekutumia tafadhali ingia kwenye barua pepe yako na utaona. Kwa maelezo zaidi naomba tuwasiliane.
Ofisi zetu zipo wazi tangu saa 07:00 -20:00 kila siku isipokuwa Jumapili ni kuanzia saa 11:00 - 18:00
Au kwa mawasiliano zaidi
Tupigie: 0717 71 85 19 / 0762 192 532
tembele: www.comskills.co.tz
Tuandikie: training@comskills.co.tz
 
Kwa professional kozi za ICT karibuni sana. Waweza fika ofisini kwetu kujua utaratibu wa kozi na muda wake.
 
Mie n mwilimu ninashida naitaj kanuni ya kupanga matokeo kwa division yan div I-O
 
Kuna kozi pia za
1.Basic Computer Knowledge ( wiki tano ) zinaendelea
2.Graphics Design wiki nne
hizi ndo kozi zitakazo anza wiki kesho.
Karibuni sana,tuongeze ujuzi na kuleta usanisi kwenye sehemu zetu za kazi
 
Jaribu kucheki hii. Click hapa
asante sana ndugu "castongo" ni maelezo mazuri na murua sana. Na Vlookup ni nzuri sana na nyepesi kwa tendo hilo...pia changamoto yaweza tokea kama izo division zitakuwa na criteria..eg. Endapo mtu akipata div 1 then akawa na F ya hesabu huyo ahesabike kuwa kapata div III sababu ya penati ya hesabu na mengineyo mengineyo pia. lkn kwa Vlookup ni nyepesi.
Kwa msaada zaidi wa excel twaweza wasiliana na kushare mawazo pia. cc mathx
 
Kwa professional kozi za ICT karibuni sana. Waweza fika ofisini kwetu kujua utaratibu wa kozi na muda wake
 
Mnatoa na vyeti vinavyotambilika?
Asante ndugu "Promenthous", tumesajiliwa na tunatambulika na VETA so chuo chetu kinatoa vyeti vinavyotambulika ndani na nje tupo kwenye hatua za mwisho kusajiliwa na Microsoft kama training center pia.
Na training zetu ni za kipekee. Tunakupa manual + miezi mitatu bure baada ya darasa kama unakuwa na chochote unauliza na kusaidiwa.
Kwa maelezo zaidi..
Tupigie: 0717 718519
tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Business Complex, 2nd Floor.
Ingia: www.comskills.co.tz
Karibu sana.
 
Mnatoa na vyeti vinavyotambilika?
Asante ndugu "Promenthous", tumesajiliwa na tunatambulika na VETA so chuo chetu kinatoa vyeti vinavyotambulika ndani na nje tupo kwenye hatua za mwisho kusajiliwa na Microsoft kama training center pia.
Na training zetu ni za kipekee. Tunakupa manual + miezi mitatu bure baada ya darasa kama unakuwa na chochote unauliza na kusaidiwa.
Kwa maelezo zaidi..
Tupigie: 0717 718519
tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Makumbusho Business Complex, 2nd Floor.
Ingia: www.comskills.co.tz
Karibu sana.
 
Wanajamii forum wenzangu,,naomba msaada wa kumpata MTU anayeitwa Menard mwaisela.Kwa Mara ya mwisho tulionana mwaka 1998.Ni MTU muhimu sn kwenye maisha yangu lkn sina mawasiliano naye na hatujawahi kuonana tangu wakati huo.Tafadharini mwenye taarifa zake anisaidie
 
Wanajamii forum wenzangu,,naomba msaada wa kumpata MTU anayeitwa Menard mwaisela.Kwa Mara ya mwisho tulionana mwaka 1998.Ni MTU muhimu sn kwenye maisha yangu lkn sina mawasiliano naye na hatujawahi kuonana tangu wakati huo.Tafadharini mwenye taarifa zake anisaidie
pole sana ndugu. Lakini unaweza mpata vizuri kwa kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram na kwingineko. Muhim ingia pale kwenye sehemu ya search alafu andika jina lake utampata au utapata wanao mjua.
KAribu pia The Computer Skills kwa mafunzo ya Computer.
 
Pia tunatoa kozi nyingine za asubuhi sana na jion sana zipo kwenye punguzo kubwa..wahi nafasi bado ipo
1. Basic Computer Knowledge
Muda :06:00 - 07:00 (asubuhi) - 150,000/=
:19:00 - 20:00 (jion) - 150,000/=
Utajifunza module zote tano na kupewa kitabu na Flash disk drive 8 GB free.
(i) Introduction to Computer & Windows 7
(ii) Introduction to Microsoft word 2013
(iii) Introduction to Microsoft Excel 2013
(iv) Introduction to Microsoft Power Point 2013
(v) Internet & E-mail

duration 5 weeks
karibuni sana
 
Pia tunatoa kozi nyingine za asubuhi sana na jion sana zipo kwenye punguzo kubwa..wahi nafasi bado ipo
1. Basic Computer Knowledge
Muda :06:00 - 07:00 (asubuhi) - 150,000/=
:19:00 - 20:00 (jion) - 150,000/=
Utajifunza module zote tano na kupewa kitabu na Flash disk drive 8 GB free.
(i) Introduction to Computer & Windows 7
(ii) Introduction to Microsoft word 2013
(iii) Introduction to Microsoft Excel 2013
(iv) Introduction to Microsoft Power Point 2013
(v) Internet & E-mail

duration 5 weeks
karibuni sana
Naomba course content ya excel. Je mnafundisha hata introduction ya photoshop?
E-mail yangu ni amosikashaija@gmail
 
Back
Top Bottom