Recent content by mpabony

  1. mpabony

    Jua linanipa sana nyege

    Biblia inasema ni heri kuoa kuliko kuwaka tamaa.hivyo oa tu.pili watu tuko tofauti yawezekana unachemka haraka pia unapoa haraka.jifunze kuuweza mwili katika utakatifu.ni vyema ukajua pia kuwa ukimtazama mwanamke kwa kumtamani tayari umezini nae na hivyo hakuna tofauti na kuvunja amri hiyo...
  2. mpabony

    Nimepanga kutomgusa mke wangu kimwili

    Mie nimekusoma unampenda mkeo.isitoshe huo ni mpishano mdogo sana.inahitajika wewe usiwe rugumya saana wala yeye pia asiwe kimwaga sana.mwisho kulingana na 1corinth 7 ukivaa jeans wewe ndo utakuwa umeharibu.adjustments zenu ndo zitakazo komaza ndoa yenu.
  3. mpabony

    Naombeni ushauri Jamani Very Serious

    Mpokee Bwana Yesu awa Bwana na mwokozi wa maisha yako na useme bye kwa uzinzi.then oa mke ukae nae nyumbani kwako.
  4. mpabony

    Msaada: mtoto wa miezi minne kukataa kunyonya ziwa la mama yake

    Cheki kama mama ame conceive mapema/intahekana,saa nyingine kuna repel kati ya dogo na aliyeko tumboni.yaani dogo ka zila.then shughulika na lishe.its normal atakua tu.
  5. mpabony

    Wale tuliokutana na adhabu toka kwa wanajeshi tuambie ilikuwaje

    Any way jamaa wana roho nzuri hasa kwa chakula si wachoyo.ukikuta wanakula ni kama wasukuma.utakula tani yako.shida mpishane.
  6. mpabony

    Umuhimu wa kusamehe

    Asante ndg donatila. Napenda kuongezea kuwa kusamehe ni jambo gumu sana japo ni la lazima.. Ki biblia kutokusamehe ni hasara kwa aliyekosewa japo mkosewa anaona ni adhabu kwa mkosaji. Mfano unaweza kukataa kumsamehe mtu ambaye amesha jutia kosa au katubu tayari,,,yeye yuko huru na anadunda...
  7. mpabony

    Uzi wa vyakula tu

    Mshana,huyo kamongo??nilimpenda baadae nikavunjwa moyo ati ni nyoka.nilimkuta kasha pasuliwa .hongera hata hvo.
  8. mpabony

    Kituko cha bibi / babu yako unachokikumbuka.

    Babu yangu akiwa amelewa gwagwa/pombe ya ndizi alipenda kujigamba kijiji kizima ati yeye ndo kasomesha wanae.wananzengo /wanakijiji wakakasirika mmoja akamwotea mvua imenyesha akamkata panga.japo alimjeruhi tu hakufa.japo sasa amelala.alikuwa mwenyewe mpaka la 12 enzi hizo.
  9. mpabony

    Kumcha Mungu

    Salaam sana, Naamini katika jamii kubwa hivi lazima kuna mchanganyiko mkubwa pia. Katika hao wamo wacha Mungu wengi. Niombe pia towekeze nguvu katika kuhimizana kumcha Mungu na kutazama kwa jicho la ziada katika yale ambayo JEHOVAH AMETUTENDEA. Nina uwezo wa ki uchambuzi pia lakini mimi...
  10. mpabony

    Wale tuliokutana na adhabu toka kwa wanajeshi tuambie ilikuwaje

    Pia moja ya suspect ya mkuu ni kuwa wajeda walikuwa wakitembea na wasichana pale shuleni.
  11. mpabony

    Wale tuliokutana na adhabu toka kwa wanajeshi tuambie ilikuwaje

    Kabanga secondary ngara' mkuu wa mwaka ule mnaokumbuka alikuwa ameokoka ';na kambi ya jeshi iko hapo hapo :akatuma mwanafunzi awaambie wajeda wasipigie wanafunzi kelele kwa mazoezi ya vifaru.asubuhi yake kakuta wamefanyia mazoezi ya vifaru parade ya shule! Si unajua corner moja ya kifaru ni...
  12. mpabony

    Kuna Rais Yeyote Aliyetoa Pongezi Juu Ya Maamuzi Ya Mahakama Nchini Kenya????

    Haki huinua taifa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom