D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,259
Ndugu zangu wanajamvi.
Mimi hapa nlipo matatizo.makubwa sana yamenipata naandika uzi huu nikiwa na haraka kidogo ila nimechanganyikiwa naombeni mnisaidie nipo hospitali kwa sasa ila hata mwenye milioni moja anitumie sidhani kama kwa hali niliyonayo sasa siwezi kueleza kwa undani ila naahidi ntarudi hapa kuelezea ntakapomaliza mayatizo haya tzfadhal sana najua huu ni mtihani mkubxwa kwangu ila msaada wenu nduo uhai wangu.nadhani sio vyema kusubir mimi nife ndio msiktike nawaomba Tafadhali naangamia mwenzen maisha ni kuszidiana leo kwangu kesho kwenu.naomba mniamini tatizo langu nitaelzea hapo baadae ila wengi humu wananijua sijawah kumtapeli mtu Niokoeni Tafadhali.
Yoyte mwenye nia ya kunisaidia kuweka nzmba hadhran siwez ila anaweza kunifata PM au kucomment nimfate PM tafadhak mniokoe ndugu yenye naangamia huku najiona elfu moja inaweza kuwa ndoho ila itanidaidia mno please
nataka nichezee biko😁😁
Mimi hapa nlipo matatizo.makubwa sana yamenipata naandika uzi huu nikiwa na haraka kidogo ila nimechanganyikiwa naombeni mnisaidie nipo hospitali kwa sasa ila hata mwenye milioni moja anitumie sidhani kama kwa hali niliyonayo sasa siwezi kueleza kwa undani ila naahidi ntarudi hapa kuelezea ntakapomaliza mayatizo haya tzfadhal sana najua huu ni mtihani mkubxwa kwangu ila msaada wenu nduo uhai wangu.nadhani sio vyema kusubir mimi nife ndio msiktike nawaomba Tafadhali naangamia mwenzen maisha ni kuszidiana leo kwangu kesho kwenu.naomba mniamini tatizo langu nitaelzea hapo baadae ila wengi humu wananijua sijawah kumtapeli mtu Niokoeni Tafadhali.
Yoyte mwenye nia ya kunisaidia kuweka nzmba hadhran siwez ila anaweza kunifata PM au kucomment nimfate PM tafadhak mniokoe ndugu yenye naangamia huku najiona elfu moja inaweza kuwa ndoho ila itanidaidia mno please
nataka nichezee biko😁😁