Huyu Hamdun ashawai gombana na jambazi Sabaya, wana JF kama mnakumbuka Sabaya ashawai kamata wafanyabiasha wa kilimanjaro akasema wanaribu miundombinu ya reli, ila Hamdun aliwasafisha wale wafanyabiashara kwamba hawahusiki
Huyu Hamdun inaelekea ni mtendaji mzuri sana, Mungu amuongoze
Uko Lowry hotel na Old Traford inasemakana mashabiki wengi wanandamana #GlazersOUT
Pia kuna breaking news baadhi ya mashabiki wameingia ndani ya uwanja wa Old Traford kuonyesha msimamo wa #GlazersOUT
Hope polisi wanatafanikiwa kutuliza hali utulivu urejee
Ila all in all mashabiki wa UTD ni...
Match day
I hope OGS ataanza na kile kikosi kilichomfunga Roma 6 - 2 ili timu iwe na balance nzuri, langoni akikaa yeyote either Degea au Henderson poa tu
Pogba + Bruno + Cavan wataleta mangamizi ktk lango la Liverpool
Natarajia Greenword ataingia 2nd half kutapelekea madhara zaidi kwa vijana...
Liverpool hata next season mtayumba, sioni mkibadilika kutoka ktk hali hii mliyonayo sasa
Front 3 yenu inakosa magoli sana, ili liverpool izaliwe mpya inaitaji ku'spend si chini ya pound laki mbili, wale wamarekani wachumi mno, hawatotoa mzigo wa kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.