Aiseeee hiyo ndinga nilipanda kama miezi Mitatu nyuma toka Dar - Mbeya kufika Iringa kabla ya ilula ndinga ikafa ebwana eeeeh! Tulikesha nayo tangia hiyo siku nikaacha kabisaaaa kutumia hiyo kampuni
Usiombe ukutwe na mabalaaa aiseee waganga watu muhimu sana mazeee, sema watu wengi tulikuwa tunafikiri kama mimi mganga basi lazima awe babu fulani hivi au kabibi fulani na makorokoro kibao kumbe sio aiseee! Siku hizi waganga unakuta jamaaa tu au mdada tu yupo fresh kabisa msafi na anakutibu na...
Mambo mengine utajiua bure kwa preshaa vitu vingine vidogo vidogo temana navyo tu vitakusumbua sanaa! Kuna manzi nilikuwa napiga siku nilichukua Simu yake nikaongia Fb Messenger vitu nilivyokutana navyo hatari ,uzuri alikuwa wa kupita tu nikajifunza hawa viumbe ukiwafuatilia sana utakufa mapema
Oooh! Na wenyewe wamechapisha kabisaaa na kwenye blog kubwa za ujerumani imekuwa ni story ambayo inatrend sanaa hata kwenye televisheni ya Taifa ya ujerumani ilikuwa ni habari ya kwanza na wajerumani wamefurahi sanaa tena Sanaa na wanashukuru sanaa Tanzania kwa ukarimu wetu maana wanajua Rais...
Simba kumbukeni Okwi,Juko, Mkude, Nyoni hawapo sasa huo ushindi bila hawa watu msahau aiseee......Okwi bado anamgomo anataka pesaaa zake
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.