macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,555
Mkuu.. mtu anakunywa pombe anakuwa chakari halafu anaendesha gari... Mungu atahusikaje? Au unakuta dereva anaendasha speed 170km/hr, akipata ajali Mungu anahusikaje? Japo mifano niliyotoa haina uhusiano na ajali ya thread hii lakini nataka kusema tu si binadamu ndiyo chanzo kikubwa cha ajali.Mungu anawaua watu kikatili Kiasi Hicho halafu bado mnamuambia Azilaze Roho mahali pema. ..like seriously! !!?
Nimejisikia huzuni baada ya kupokea hii taarifa