Recent content by Mowo MD

  1. M

    Umasikini umeongezeka maradufu ndani ya mwaka mmoja tu wa utawala wa Rais Magufuli

    Hapa kazi tu...bila pesa ndo alivyomaanisha!!![emoji1] [emoji63]
  2. M

    Sakata la Gwajima limenipa picha niliyoitarajia

    A cha kabisa tunapoelekea siko!!!! Watu wanalia na majanga hayaoni yupo kmy tu kaganda na shilawadu!!!!!!!mwafaaaaa!!
  3. M

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Wapo wanaojifanya wakimbizi wakifika kambini wanaandikishwa mle wapatapo wafadhili wanapelekwa nje na huko baada ya mda wanarudi kutusalimia :::::mpaka unatamani na wewe ungekua mkimbizi!!!! Jaribu kujilipua labda utafanikiwa!!!
  4. M

    Wazungu wengi hunukia harufu moja je hio harufu ni mafuta au perfume gani?

    Me huwa nahisi wananukia sabuni za unga kama omo'foma' hivyo nafua nguo zangu kwa sabuni za unga ninukie kama mzungu!!!!!
  5. M

    For JamiiForums Mobile users

    [Naweza]#800000[/namimiau]
  6. M

    Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

    Ya kaini mwachieni kaini na ya abigaili mwachieni Abigail!!
  7. M

    Wanawake mnawezaje kuwa kwenye uhusiano na mtu usiye na hisia naye?

    Anapunguza msongo wa mawazo akirudi aliyeziteka hisia zake ndio utakapojua pa kuzielekeza zako!
  8. M

    Swali la weekend kwa wanafamilia...

    Sipo nje ya mada ila kinachopelekea Kuwa laki 2 ni namna vichwa vya familia vinavyojigamba katika nyumba na kuona bi hana la kuchangia kwanini nisjishushe ''''''sihitaji mabavu miee!!! Akuuu
  9. M

    Madhara ya minara ya simu

    Mkuu alivyoeleza pia mionzi hiyo huathiri wanawake wajawazito waliopo mazngira hayo :mimba kutoka::
  10. M

    Shule ya Msingi Ally Hapi, ni kielelezo cha Shule kuendeshwa Kisiasa, aibu kwa Taifa

    Duu! Hiyo shule lambda iwe ya chekechea aisee.Kama ni ya msingi au sekondari ni aibu kubwa
  11. M

    Tangazo la kutuma vyeti limeondolewa?

    Home page = ukurasa wa nyumbani[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3]
Back
Top Bottom