Wapo wanaojifanya wakimbizi wakifika kambini wanaandikishwa mle wapatapo wafadhili wanapelekwa nje na huko baada ya mda wanarudi kutusalimia :::::mpaka unatamani na wewe ungekua mkimbizi!!!! Jaribu kujilipua labda utafanikiwa!!!
Sipo nje ya mada ila kinachopelekea Kuwa laki 2 ni namna vichwa vya familia vinavyojigamba katika nyumba na kuona bi hana la kuchangia kwanini nisjishushe ''''''sihitaji mabavu miee!!! Akuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.