Kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa "overshadowing" yaani mkubwa anayekuteua anageuka tena na kufanya kazi yako wewe aliyekuteua hadi unajiuliza aliniteua nifanye kazi gani?
Kwa awamu ya tano hili limekuwa suala la kawaida sana kwa mkulu wetu
Ndio maana waandamizi wake wanaamua kama kumkomoa
O...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.