Yesu alisema tukumbuke kifo chake na si kuzaliwa
1wakorintho 11:25
Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe pia, baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya kwa msingi wa damu yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka mimi
mkuu hii picha inatoka kwa video moja ipo YouTube kule, mie ni mfuatiliaji mzuri wa ufundi wa sofa,,,,napenda kazi hiyo ila sijapata nafasi, na aliyekuwa anatengeneza si mwafrika.
Inamaana hiyo picha ni kweli upo katika hatua hiyo????
"ukweli humuweka mtu kuwa huru"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.