alexelias JF-Expert Member Sep 1, 2017 2,032 3,198 Aug 22, 2019 #1 Unaambiwa wakati wa tangazo lile ukifika liweke hewani watangazaji wa kipindi husika hununa na huwa hawana namna tu kwa sababu ya pesa. Jamaa yangu mmoja kaniarifu Cloud's FM kama wana adui namba moja katika Nchi hii ni huyo diamond!
Unaambiwa wakati wa tangazo lile ukifika liweke hewani watangazaji wa kipindi husika hununa na huwa hawana namna tu kwa sababu ya pesa. Jamaa yangu mmoja kaniarifu Cloud's FM kama wana adui namba moja katika Nchi hii ni huyo diamond!
monopoly inc JF-Expert Member Dec 20, 2016 5,265 11,304 Aug 22, 2019 #3 Bila kavideo wala kapicha huu ni udaku Kama nyuzi za Kiduku lilo
LOVE U JF JF-Expert Member Dec 9, 2015 2,136 1,630 Dec 29, 2019 #4 mleta mada tayari nimesoma uzi wako