Pole Sana dada Yangu, hivi ndivyo walivyo mamamkwe wengi WA kiafrika na haijalishi kuwa amesoma au LA. Dawa yake ni kumueleza ukweli kuliko kukaa na maumivu moyoni.
Akili za MUngu sio akili za mwanadam,mawazo ya MUngu sio mawazo ya mwanadam,uwezo wa MUngu sio uwezo wa mwanadamu. Hakika MUngu yupo.
Sent from my iPad using JamiiForums
Mo chukua simba bureeeeeeeeeeeee kabisa wala hatukuuuzii kwani hao wazee wa dar na wanachama wa simba ndio kikwazo cha maendeleo ya timu kwani wamekalia uchawi,siasa za mpira ,majungu,fitna na ubabaishaji wa kimazoea pamoja na maslahi binafsi. Tujiulize miaka 70 iliyopita toka simba ianzishwe...
Inasadikika siku ya kwanza kabisa mtu mweupe(mzungu) alipokutana na mtu mweusi(mwafrika) ,wote wawili walitoka nduki kila mmoja na uelekeo wake.
Sent from my iPad using JamiiForums
Asante mwanajamvi mwenzangu bwana mzizimkavu kwa kunifafanulia kidogo kuhusu tinnitus.Yani sauti niliyoisikia kwenye video yako,ndio sauti hiyohiyo ninayoisikia ndani ya sikio langu la kulia.Tutazungumza mengi kwa kupitia e-mail yako.Aksante sana
Sent from my iPad using JamiiForums
Mimi dr. Nimefurahi sana kupata nafasi ya kuuliza swali. NINA UGONJWA WA TINNITUS(Ear ringing/bunzing) Yani Nina mngurumo usiokwisha Kama Mlio wa friji katika sikio langu la kushoto , ambao nausikia kama unatokea kichwani ,kwa muda wa mwezi mmoja sasa. Naomba unipe maelezo kuwa unasababishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.