Mtatiro anzia uolewe unaongea mipasho kama hadija kopa, we tulia ndani tu utunze ndoa yako mama, CUF mmebaki na kazi ya kupika na kupakua misosi kama mama wa hom, mlifurahi kuolewa bila kujua nyie ni watoto wa kiume mkafikiri itakuwa rahisi sio, sasa inakula kwenu.