Kweli kabisa mkuu, naelewa mtoto hana hatia na angekuwa kazaliwa ndani ya nyumba yangu wala nisingembagua kabisa. Ila huyo dada sijamuoa na isitoshe yeye yuko Dar na me naishi Moshi.
Kweli kabisa mkuu, naelewa mtoto hana hatia na angekuwa kazaliwa ndani ya nyumba yangu wala nisingembagua kabisa. Ila huyo dada sijamuoa na isitoshe yeye yuko Dar na me naishi Moshi.
Habari za leo ndugu.
Nahitaji kujua hivi inaweza kunigharim shilingi ngapi kupima DNA? Nahisi nabebeshwa mzigo usio wangu hivyo nataka nipate uhakika ili kama ni mwanangu nimlee kwa moyo mkunjufu. Ila sijui lolote kuhusu DNA. Msaada tafadhali.
Naomba niulizie hapa kidogo.... Hivi nyie watu wote mnaounga mkono kauli ya Zitto kwamba Manji anaonewa, anayofanyiwa ni visasi, mnaweza kunambia Rais Magu au RC Makonda ana kisasi na Manji kuhusu nini? Au mnaounga tu mkono kwasabab mnaamini kila neno analosema Zitto ni sahihi sana? Kwanini...
Me nashauri watu tufanye mambo yamsingi na itafakari kwa kina post yako kabla ya kuirusha. Hizi story kawapigie walokole na waislam wa siasa kali ndo mambo yao hayo. Watakupenda kweli.
We surely don't. And so long as you don't believe in those stuff the peace of mind is even higher. Hakuna Mungu, hakuna shetani, hakuna uchawi ishi kwa amani. Hapa dunian Mbio zako ndizo zitakazo kuokoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.