Recent content by Mosahe

  1. Mosahe

    Dr Vicent Mashinji: CCM huwa wanatuchakachua, ushahidi huu hapa

    tatizo lenu hamtaki kushidwa yani kwa sasa uchaguzi unao fuata hamlambi hata jimbo moja
  2. Mosahe

    Msaada wa sheria za barabarani

    Nimehuisha leseni (renew) ila haijatoka naruhusiwa kuendesha gari kwa wakati huo nasubiri?
  3. Mosahe

    Gazeti la serikali ni nini na linauzwa wapi?

    Kichwa chajieleza, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa kuna gazeti la serikali ambalo hutangaza tenda, sheria mpya nk.hivi likoje na huuzwa wapi? Huandikwa na kina nani? lini? na wapi? msaada please.
  4. Mosahe

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    NAHITAJI KIOO NA TACHI YA SIMU INFINIX X600 , MWENYE HIVI VITU UTANIUZIA BEI GANI?
  5. Mosahe

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Msaada wenu simu LG CE0168 haisomi mtandao ila ukisearch network inapata mtandao ila haushiki ,je kuna njia ya kurekebisha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mosahe

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    nimejaribu lakini bado na chanzo cha tatizo ni daada ya kuiflashi kuondoa password
  7. Mosahe

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    msaada KUTOA CONTACT SERVICE nokia x2
  8. Mosahe

    Nini kazi kubwa ya vifaa hivi kewnye solar panel

    NAOMBA KUJUA KAZI YA VIFAA HIVI: 1:DIODE 2:CHARGER CONTOLER ENDAPO KIMOJA KITAKOSEKANA MADHARA GANI HUTOKEA KWENYE MFUMO HUO WA UMEME JUA ?
  9. Mosahe

    App gani ya android inaweza kipima umbali wa barabara

    Mada yajieleza nahitaji kupima kipande cha ardhi ili nijue kina umbali gani, kinatakiwa kilimwe barabara ya mtaa ili kandarasi asiibe hera nitjuaje umbali wake? Kumbuka hapapitiki kwamba naweza kutumia pikipiki au gari!
  10. Mosahe

    HUU NI UGONJWA GANI NA TIBA YAKE SAHIHI NI IPI

    asante wewe nimekulewa
  11. Mosahe

    HUU NI UGONJWA GANI NA TIBA YAKE SAHIHI NI IPI

    Mimi ni ME,Sina mchepuko ila nimeoa, nimehisi muwasho ndani ya miezi 2 sasa wakati wa kukojoa na ninapokuwa nimekaa kuna kauchafu kama majimaji hunitoka na huwa nahisi maumivu wakati nimekaa ila hupotea baada ya muda,hali hii inanikera sana.Msaada wenu.
  12. Mosahe

    Dawa bora ya Malaria

    power table
Back
Top Bottom