Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,244
- 4,430
Kumekuwa na dawa nyingi za malaria sokoni mpaka mtu unashindwa uchague ipi. Hata hivyo ufanisi wa hizi dawa nao ni wakutiliwa mashaka!
Ipi dawa yako unayoiamini ya kutibu malaria?
Ipi dawa yako unayoiamini ya kutibu malaria?