Mosahe Member Feb 22, 2017 67 33 Jan 7, 2018 #1 Nimehuisha leseni (renew) ila haijatoka naruhusiwa kuendesha gari kwa wakati huo nasubiri?
sajo JF-Expert Member Nov 8, 2010 3,021 5,253 Jan 12, 2018 #2 Mosahe said: Nimehuisha leseni (renew) ila haijatoka naruhusiwa kuendesha gari kwa wakati huo nasubiri? Click to expand... Sasa utaendesha vipi gari bila leseni mzee?
Mosahe said: Nimehuisha leseni (renew) ila haijatoka naruhusiwa kuendesha gari kwa wakati huo nasubiri? Click to expand... Sasa utaendesha vipi gari bila leseni mzee?
swank JF-Expert Member Jan 17, 2017 748 1,041 Jan 12, 2018 #3 Kwani wewe au leseni ndo inaendesha gari Endesha ila kuwa makini usikamatwe!
nchi ya viwanda Member Apr 3, 2017 88 18 Jan 16, 2018 #4 Ukienda renew c tunatoa kibari cha ww kuwa lessen ipo some where
fh kwenye beat JF-Expert Member May 29, 2017 489 578 Jan 16, 2018 #5 Mkuu inaruhusiwa kuongeza madaraja baada ya mda gan