Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kama mpenda haki na mpinga ukoloni hakuitambua Israel maishani mwake, na aliiunga mkono Palestina kwa nguvu zake zote.
Kwa suala hili Mkuu, usipotoshe mambo tafadhali, kwani wajumbe wa mkutano huo walikwenda kutalii au walikuwa na mkutano wa kikazi. Sasa mkutano wa kikazi unataka wakfanyie kwenye Hoteli ya kitalii?!
Kwa mawazo mgando hayo uliyonayo, yaonesha wazi elimu yako hadi sasa haijakusaidia! Tofauti ya mawazo ktk jamii ni jambo la msingi sana ili kuwezesha ujenzi wa hoja zenye tija kimaendeleo.
Usafi wa nchi hii unapaswa kuanza kwa kurekebisha mifumo ya sheria kwa kuanza na Katiba Mpya, hususan Katiba ya Wananchi kwa kuhuisha Rasimu ya Tume ya Warioba ambayo pamoja na mambo mengi mazuri, inazuia viongozi na watumishi wa umma kuficha fedha nje ya nchi kiholela, jambo ambalo aghlabu...
International Community aliyewataja mchangiaji ni sehemu tu ya waangalizi waliokuwepo Zanzibar kwenye uchaguzi ule wa Oktoba 25, lakini pia kulikuwapo waangalizi wa ndani ikiwa ni pamoja na LHRC ambao miongoni mwao wengi wao ni Watanzania wenzetu, maoni yao kuhusu uchaguzi kuwa uliwa huru na...
International Community aliyewataja mchangiaji ni sehemu tu ya waangalizi waliokuwepo Zanzibar kwenye uchaguzi ule wa Oktoba 25, lakini pia kulikuwapo waangalizi wa ndani ikiwa ni pamoja na LHRC ambao miongoni mwao wengi wao ni Watanzania wenzetu, maoni yao kuhusu uchaguzi kuwa uliwa huru na...
Kwa povu lako hilo wamaanisha itikadi ya chama chenu ni kung'ang'ania madaraka hata kama mmekataliwa kupitia uchaguzi wa ki demokrasia?! Shame on you! Msituletee balaa nchini.
Tatizo si Ma-padlocks, tatizo ni chama chake na mfumo wa kufanya maovu na kulindana uliojijenga ndani ya chama chake ccm, ushahidi EPA,ESCROW, MEREMETA,et al. Nikimpima uwezo wake wa uongozi ngazi ya urais naona HATOSHI. Ngazi ya Urais ni kutoa maamuzi na kuyasimamia kama ulivyobainisha kwa hoja...
Hakika nami nasikitika! Hata kama ni kweli beyond reasonable doubt kwamba Zito alikuwa kirusi ndani ya Chama, nadhani haikuwa busara kumuengua instantly. Siasa za Zitto zimewateka wengi hata sisi tusio na vyama. Tumeona dhahiri hatua iliyo katika nia ya kumfukuza Zitto ni tishio la ustawi wa...
Simlaumu Zitto kwa udhaifu wake kukubali kutumika na taasisi zilizotajwa kuhujumu chama chake mara tu alipofikiwa na kuombwa kufanya hivyo pale 2008. Nasema hivyo nikizingatia nguvu za taasisi zilizomfikia na kumtaka afanye walichomtaka akifanye. Nina hakika maisha yake yalikuwa hatarini endapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.