Recent content by Morigo

  1. Morigo

    Mwigulu: Lowassa anajua atashindwa, ameanza kuandaa watu kisaikolojia

    Naona anamsema Lowasa tuu kwa mambo binafsi halafu mtangazaji anachekacheka tuu
  2. Morigo

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Jamani hapo kaomba wamuombee maombi ili ashinde na sio kuomba kura.
  3. Morigo

    Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

    Tujuzeni nyie mliekuwepo uwanjani ni kweli watu waliruhusiwa kuingia bure? Na je baada ya kuingia walionyesha alama ya vidole viwili vya chadema? Nafanya tuu utafiti jamani
  4. Morigo

    Renatus Mkinga na Mtikila live Star TV: Suala la afya za wagombea laongelewa

    Huyu mkinga hata haelewi nn mada inataka yy amebaki kumshambulia mtu na chama badala ya kujadili anajifunza nn kwa wataka uongozi
  5. Morigo

    Ratiba ya bunge

    Jamani naombeni kuwauliza hili bunge linaloendelea litaishia tarehe ngapi? Au limebakiza siku ngapi kuisha?
  6. Morigo

    Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

    Sasa nyie mnabishana hata hamtuambii kinachoendelea uwanjani tuambieni bana
  7. Morigo

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    Mkuu it is just a trick Watch out mke wako atakuambia anaenda harusini kumbe anaenda kutoka na boy mwengine halafu huku nyuma anajifanya anakupenda na mapenzi motomot
  8. Morigo

    Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

    Jamani simba vp
  9. Morigo

    TTCL yanasaini mkataba wa bilion 300 na Huawei

    Jamani si juzi nilisikia ttcl imefilisika au zile habari zilikua za uongo? mwekezaji huyu amekubalije kuwekeza kwenye kampuni iliyofilisika?
  10. Morigo

    Natafuta medium primary school kwa ajili ya mwanangu

    St felista eng- ipo kibamba luguruni.
  11. Morigo

    Kampuni ya Simu ya Tigo Ni ya Mwanasiasa Gani Mbona Haifukuzwi kwa Huduma Mbovu?

    Internet yao inasumbua kila kukicha sijui kuna nn Tigo
  12. Morigo

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Na Mimi hapa mtaani kwetu kata ya saranga stop over kimara CHADEMA wamechukua.
  13. Morigo

    TBC1 wana matatizo gani leo?

    Mkuu nipo kwenye TV hakuna sauti TBC sasa naona star TV iko vizuri Nb.natumia Dstv
  14. Morigo

    TBC1 wana matatizo gani leo?

    Wadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?
Back
Top Bottom