TBC1 wana matatizo gani leo?

TBC1 wana matatizo gani leo?

Ifute kabisa kwenye decoder yako, halafu kwenye mjadala wa leo asubuhi tazama kupitia Star tv ambao wao hurusha session hii ya asubuhi. Itabidi tuwaombe wawe wanarusha na jioni hasa kunapokuwa na serious issues kama hii screw!
 
Mkuu Pasco et al tunaomba update from time to time ili nasi tupate udambwi dambwi wa kukamata wezi wetu.
 
Last edited by a moderator:
Wadau Mimi natumia Dstv na tangia asubuhi TBC 1 haina Saudi
Sasa sielewi ni hujuma nisisikie Escrow au la?

mbna zetu sauti iko poa kabisa....tv yako itakuwa ina tatizo
 
tv hii ya majambazi haiwezi kuonyesha mambo ya maana hata kidogo! kazi yake ni "minds enslavement organ" ya ccm
 
Mnaotazama TBC mjiandae kisaikolojia pia. Mjadala ukifika kwenye chorus watakata matangazo wakisingizia hali mbaya ya hewa, au kukatika kwa umeme kule Kijitonyama! Shauri yenu.
 
wakuu wenye taarifa kuwa hiyo ripoti anaanza saa ngapi kusomwa? maana naona kinachoendelea ni maswali na majibu tu.
 
Wakuu kama kuna mwenye link anisaidie link niangalie online
 
Back
Top Bottom