Usiongozwe sana na hisia na kuongea huko kana kwamba una ukweli wowote kuhusu jambo hilo,mie kwangu atabaki kuwa rais bora sana kutokea kwani ni baba wa demokrasia haswaa hapa kwetu Tanzania.Na siku zote mkubwa ni jalala kila baya litokeapo lazima atanyoshewa kidole na hao binadamu...
Mbona baadhi yenu mnamshambulia sana GENTA?,ww kama unaona habari zake zina makando kando hulazimishwi kuzisoma na kutoa comment.Pita kule acha wengine wasome na kujifunza mazuri toka kwake,songa mbele genta kwani wafuasi ulionao humu jamvini ni wengi sana na wanakufuatilia haswaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.