MOREMI2006
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 551
- 541
Mbona baadhi yenu mnamshambulia sana GENTA?,ww kama unaona habari zake zina makando kando hulazimishwi kuzisoma na kutoa comment.Pita kule acha wengine wasome na kujifunza mazuri toka kwake,songa mbele genta kwani wafuasi ulionao humu jamvini ni wengi sana na wanakufuatilia haswaaa