Ndg wadau ninaomba kuoata uelewa wa Hii technology ya Wall screen maana kuna sehemu nataka kuitumia..
Ninaomba msaada wenu kujua mambo yafuatayo:
1. Upatikanaji wake
2. Gharama yake
3. Meintenance yake ikoje
4. Na je ina quality ya kuweza kuonesha vzr?
NATANGULIZA SHUKURANI [emoji120]
Habari za mahangaiko ya kila siku wana JamiiForums na wapenzi wa jukwaa la Biashara na Ujasiriamali.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri na sitaki kuwachosha, naenda moja kwa moja kwenye mada.
Ninafikiria kufanya biashara ya kuwa na ofisi ya kukata Bima za aina mbalimbali pamoja na Huduma ya LATRA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.