englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,210
Naangalia taarifa ya habari ya ITV namwona mheshimiwa raisi anafungua kikao cha wizara ambazo serikali imeamua iweke kipaumele kwenye maeneo sita baadhi ni elimu, maji ,uchukuzi etc kilicho nisikitisha kwenye hotuba rahisi anauliza who doesn,t know wanafunzi wanafeli harafu anacheka sana ,huyu yuko serious kweli?