Recent content by Mopane

  1. M

    Dar: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani - Kunduchi

    Hivi wako wap wale polisi wakudhibiti fujo kule kwenye hoja ya katiba mpya?
  2. M

    Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

    Hapa ndipo wazazi wengi wanapoharibu
  3. M

    Makonda sikumkubali kwa asilimia mia ila leo nimejikuta namuonea huruma

    Naona wale waliokimbia na ndala wakirudi na safari buti zao.
  4. M

    Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

    Maisha sio rahisi kihivyo useme mwanamke atakaa nyumbani kumlea mtoto kwanza kuna changamoto za mayaya ,kule daycare ndo imekua salama ya kulelewa watoto ila kama anaweza amfungashie chakula chake mwenyewe
  5. M

    Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

    Maisha sio rahisi kihivyo useme mwanamke atakaa nyumbani kumlea mtoto kwanza kuna changamoto za mayaya ,kule daycare ndo imekua salama ya kulelewa watoto ila kama anaweza amfungashie chakula chake mwenyewe
  6. M

    Funzo: Rais Pierre Nkurunziza pesa ameziacha

    na fumbo lililofichwa sana,inafanana na tajiri aliyezivunja ghala zake na kuzitengeneza kuwa Kubwa zaidi ajiwekee akiba Mungu akamchukua usiku !
  7. M

    Rais Kenyatta: Hatuwezi kuendelea na lockdown

    Piere Nkurunzinza aliona corona ni ka ugonjwa kadogooo hatimaye wamefanya election na wamepata viongozi!
  8. M

    Hellow my name is mopane

    asante Babu!
  9. M

    Hellow my name is mopane

    Tangu ikiitwa jambo forum nilikua naperuzi humu na kusikiliza music, namkumbuka afrodenzi na wengine wengi!
Back
Top Bottom