mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,135
Alimuomba nani wkt yeye ni RAIS?Marehemu aliomba,hakuiba,wezi walikuwa akina Mobutu,na Abacha.
Yeye na madikteta wenzake wa A/Mashariki,duniani wote ni majizi tu tena yaliyopindukia.
Alimuomba nani wkt yeye ni RAIS?Marehemu aliomba,hakuiba,wezi walikuwa akina Mobutu,na Abacha.
Kwani kifo ni adhabu au?Malipo ni hapahapa
Kuna "nudii" za jokate na mfalme wenu, uwe na adabu.Kama anavyolipwa mbowe kutafuna wake za watu
na fumbo lililofichwa sana,inafanana na tajiri aliyezivunja ghala zake na kuzitengeneza kuwa Kubwa zaidi ajiwekee akiba Mungu akamchukua usiku !Kesho yetu ni fumbo