Recent content by mopalimo the don

  1. mopalimo the don

    Interview za TRA hazijatenda haki

    To be honest kwa upande wangu, paper ya tax management officer kama ingesahihishwa fairly I wouldn't expect nothing less than 85% thats to the minimum. Walitoa maswali rahisi sana mfano 1. Conditions for claimability of input tax. Ambazo majibu yake yametajwa S.68(1)a-c ya Vat act cap 148 10...
  2. mopalimo the don

    Interview za TRA hazijatenda haki

    Unfairnesa ya ajira za TRA ni ya ajabu. Kigezo kipi kimetumika kuchukuwa watu wenye marks 70 za juu dhidi ya marks 70 za chini zenye nyekundu. In general Kama maombi yetu yanaweza kumfukia raisi wetu Mama Samia tunamuomba sana arudushe mchakato huu PSRS ili kuwezesha watu stahiki kuweza kupata...
  3. mopalimo the don

    Tangazo la kuitwa kwenye usaili TRA

    Nina uhakika 100% kuwa usahishaji wa tax management officer haukua fair. Generally paper yenyewe ilikua na makosa ya uchapishaji mengi tu mfano time allowed iliandikwa 70mins (ninty minutes) Title ya paper yenyewe pia ilikosewa kuandikwa Ila. a) Overall assemment kwenye procedures and...
  4. mopalimo the don

    Je, ni kweli TRA wameshaita watu kwenye ORAL INTERVIEW?

    Nina uhakika 100% kuwa usahishaji wa tax management officer haukua fair. Generally paper yenyewe ilikua na makosa ya uchapishaji mengi tu mfano time allowed iliandikwa 70mins (ninty minutes) Title ya paper yenyewe pia ilikosewa kuandikwa Ila. a) Overall assemment kwenye procedures and...
  5. mopalimo the don

    Una Idea ila kuiweka sokoni inakuwa vigumu? Tengeneza wajinga wengi sana akilini mwako na utatoboa

    Forex is a real business, nilioisoma kwenye international finance 3rd year Mzumbe. Tatizo letu wa bongo ni kuwa tuko miaka 50 behind technology. Kutokua na ujuzi na maarifa sahahihi kunatuponza sana. Anyway, nakubaliana na Mr Chasha tatizo letu wabongo ni kukosa consistency. Do what you love and...
  6. mopalimo the don

    msaada wa upatikanaji wa soko la mboga dar es laam

    Inaonekana ni wenyeji wa nyanda za juu kusini hususani Iringa. Sijawahi kula figiri Dar. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mopalimo the don

    ONTARIO'S JF Exclusive Interview: Ujasiriamali na harakati za maisha kwa ujumla

    Hivi ni lini Forbes walimpublish huyo LMM holder wetu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mopalimo the don

    TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

    Ni mhehe wa iringa jina lake ni Hussein Tendega na kazikwa iringa makaburi ya Mlolo.
  9. mopalimo the don

    TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

    Kuna yakujifunza mengi kutokana na kifo chake hivi tunavoongea Leo anaanza usiku wake ndani ya kaburi kufahamika kote watu walioenda kuzika hawafiki 500. Allah amlipe yanayomstahiki na atusamehe wote kwa ujumla
  10. mopalimo the don

    Jifunze kwa Aliko Dangote

    Hiyo source uliochukua information itakuwa waek source unless Dangote a verify mwenyewe.
  11. mopalimo the don

    Jifunze kwa Aliko Dangote

    Hahahaha inafurahisha sana kuachiana seat kwenye ndege hapo umeua.
  12. mopalimo the don

    Njoo tujadili namna ya kutengeneza zaidi ya mil 100 ndani ya mwaka mmoja

    Ziko biashara nyingi ambazo unaweza kutengeneza million 100+ inategemeana na mtaji wako tu.
  13. mopalimo the don

    Tahadhari kama umechagua course hizi TCU

    Tuliza presha Mungu akikijaalia utapata tu competition ya watu wa nacte sio kubwa kihivo.
Back
Top Bottom