Recent content by mooy

  1. M

    Tuliosoma shule za Vipaji Maalum tukutane hapa...

    Hivi wale waliokuwa wanaandika majina ya wasumbufu darasani sahv wanafanya kazi gani huko mtaani kwenu? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Ushauri wenu wakuu nimechanganyikiwa kwa ujinga niliofanya

    Acha uoga bhana we wa kiume, pambana na hali yako Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Harmorapa Fans' Special Thread...

    Isijekuwa anawapakaza shombo tu, ye anajisifia amewashughulikia[emoji28][emoji28][emoji28], hivi vitoto vinavyojisifia sana huwa vinaishia kumwaga povu tu [emoji125][emoji125][emoji125]
  4. M

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Natafuta nyumba 2bedroom, umeme maji iwe self. Nipo arusha, mitaa ni kati ya sanawari ya Chini mpaka mianzini isizidi 150000
  5. M

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Pamoja sana mkuu, haki itasimama na wewe
  6. M

    Kiasi gani kikubwa uliwahi kuhonga?

    [emoji28][emoji28][emoji28]
  7. M

    Nilifanya Mapenzi Na Maiti 20 Nitajirike – sehemu ya 1

    Endelea mkuu watu tushakuwa walevi wa hadithi
  8. M

    Kiasi gani kikubwa uliwahi kuhonga?

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]pole mkuu hizo ni ajal kazini
  9. M

    Hivi kuna sababu gani za kupost/kuweka picha za watoto wetu mitandaoni?

    Nliwahi kuckia kati ya watu watano,wanne ni vichaa.nahisi na wewe ni mmoja wao,we ni mtu gani usiyetaka kuckiliza wengine[emoji56][emoji56],ngachoka,Kama huwezi kuhimili changamoto kama hizi jf uwe unatapikia hukooo . Huku ndimu zitakuhusu tu [emoji28][emoji28][emoji28]
  10. M

    Hivi kuna sababu gani za kupost/kuweka picha za watoto wetu mitandaoni?

    Mbona povu linakumwagika ka umeona ndimu, kwani hii jf ni Mali yako?au ww ni malaika usiekosolewa pyeeeeeeeeeee, hilo lako na linakuhusu mshamba ww unaefundisha watu kulea nyambafu
  11. M

    Nimepiga vigelegele na kushangilia baada ya mume wangu mtarajiwa kupunguzwa kazini! Oh halleluyah!

    Ukiwakumbusha utasikia unansimanga kwasababu sina kazi la msingi ni kuendeleza mapambio moyoni tu, hakuna namna
  12. M

    Hivi kuna sababu gani za kupost/kuweka picha za watoto wetu mitandaoni?

    Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia, unaloona wewe baya mwenzio lampendeza, na kinyume chake ni lile zuri kwako kwa mwezio flagyl
Back
Top Bottom