Isijekuwa anawapakaza shombo tu, ye anajisifia amewashughulikia[emoji28][emoji28][emoji28], hivi vitoto vinavyojisifia sana huwa vinaishia kumwaga povu tu [emoji125][emoji125][emoji125]
Nliwahi kuckia kati ya watu watano,wanne ni vichaa.nahisi na wewe ni mmoja wao,we ni mtu gani usiyetaka kuckiliza wengine[emoji56][emoji56],ngachoka,Kama huwezi kuhimili changamoto kama hizi jf uwe unatapikia hukooo . Huku ndimu zitakuhusu tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona povu linakumwagika ka umeona ndimu, kwani hii jf ni Mali yako?au ww ni malaika usiekosolewa pyeeeeeeeeeee, hilo lako na linakuhusu mshamba ww unaefundisha watu kulea nyambafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.