Hahahaha..Niliota nahonga laki mbili nikashtuka nikaona tangu nianze kuota ndoto za kutisha hii ni namba moja bora ningeota nakimbizwa na majoka au nakabwa koo na majini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kiasi gani kikubwa ulichowai kuhonga?huenda kikawa kidogo ila kinathamani kubwa sana kwako!
Naamini kuonga siyo dhambi ila ni mapenzi tu.
Nakumbuka niliwai kuhonga simu,kumsomesha,kuwasaidia wazaz wake fedha na mahitaj yote muhimu.
Pamoja na kuhonga vyote sikupata papuchi nilinyang'anywa na wajanja.
Sio kesi ilikua ni mapenzi tu.
Je wewe uliwai honga nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me last month nimehonga laki tatu SHE akanunue simu ,,,,,juzi nimekuta meseji whatsapp anachat na basha wake,,,anasifiwa kuwa anajua kufir... .....@ana,,,, wakati me sijawai kupewa
[emoji28][emoji28][emoji28]Sio ajal
Mahaba niteketeze chief
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliota nahonga laki mbili nikashtuka nikaona tangu nianze kuota ndoto za kutisha hii ni namba moja bora ningeota nakimbizwa na majoka au nakabwa koo na majini
Ni kutoa hela/ kitu/ vitu ili upate kale ka "UTEREZI"kuhonga maana yake nini?? kwetu moshi
Kwanza hilo neno KUHONGA litowe ukipenda unakuwa unatoa kwa moyo na sio kuhonga kwasababu inakuwa ni mapenzi..Ni kiasi gani kikubwa ulichowai kuhonga?huenda kikawa kidogo ila kinathamani kubwa sana kwako!
Naamini kuonga siyo dhambi ila ni mapenzi tu.
Nakumbuka niliwai kuhonga simu,kumsomesha,kuwasaidia wazaz wake fedha na mahitaj yote muhimu.
Pamoja na kuhonga vyote sikupata papuchi nilinyang'anywa na wajanja.
Sio kesi ilikua ni mapenzi tu.
Je wewe uliwai honga nini?