Recent content by monyaichi

  1. M

    ATCL Yasitisha Safari zake

    Sasa kama wamekula kodi za watanzania wakashindwa kuifufua sasa wanataka kula na viten % vyetu vya mshahara labda itafufuka kwel tuwe na uvumilivu 55yrs tutaona watakuwa wapi
  2. M

    usafiri wa Precion air ni aibu tupu

    Kwani ni lazima kupanda precision? Atcl si ipo ndege ya wazawa?
  3. M

    Fahamu zaidi kuhusu Wachagga

    kwa hiyo unataka kusema wakati wachaga wanafanya kazi kwenye seminari makabila mengine walikuwa wapi? wasukuma walikuwa wakivua samaki? haihusu wachaga siku zote ni watu wakuona mbali
  4. M

    Msitu wa pande

    ndio na liwalo na liwe tuuchome
  5. M

    Msitu wa pande

    ndi uwe makazi ya watu na bishara na shule zijengwe
  6. M

    Taja jina la mpigania haki yoyote aliyeuwawa katika mazingira yakutatanisha hapa tanzania.

    Omari juma kwa kusema: Ninanukuu ndugu zangu waislam tuache kwenda madrsa tusome na tujenge shule badala ya misikiti
  7. M

    Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

    sasa kwani mwananyamala na muhimbili ni ipi hosp kubwa?India ni maandalizi ya baaadaye
  8. M

    Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

    MIMI naomba nielezwe amani tunayosema iko tz ni ipi ? i ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa porini 2. kuwekeana sumu au ni ipi jamani watanzania wenzangu? enyi watanzania nani kawaloga
  9. M

    Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

    kwanini ulimboka? wawafanyie basi na hao mafisadi papa wanaokula kodi zetu kwa manufaa yao wenyewe? Ulimboka ana kosa gani? au kwa tz cku hizi haki tunaenda kuidai mbinguni?maana kama una haki kwa ajili ya wengine unanyamazishwa tuelewe nini ? jamani tumwogopeni mungu tunakoelekee sasa si...
  10. M

    Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

    Inasikitisha na nimekosa imani na serikali ya jk .mi naona bora nihamie somalia .kumbe TZ
  11. M

    Mbowe aungana na Mnyika kusema serikali ya Kikwete dhaifu

    hujalazimishwa kwenda hapo kuifunga ni wewe kutoenda pale
  12. M

    Mbowe aungana na Mnyika kusema serikali ya Kikwete dhaifu

    udhaifu wa rais ndo umetufanya tukafika hapa tulipo ..........nani asiye jua raisi ana udhaifu wa kuchekacheka hovyo na kufanya mambo kilegelege hana maamuzi mazito
  13. M

    Mbunge CCM ajilipua; ameungana na wabunge wa kambi ya upinzani kuipinga bajeti ya serikali

    Na hii ni kutokana na udhaifu wa rais ,BUNGE WABUNGE NA UPUUZI WA CCM.KAULI HII INAKAMILISHA KILA KITU HAKUNA HAJA YA KUENDELEA HATA HIVYO BAADA YA KAULI HII BUNGE LINGETAKIWA LIWE LIMEMALIZIKA MAANA HAKUNA WANACHOJADILI ZAIDI YA MALUMBANO.
  14. M

    Kibonde amtetea Ngeleja

    huyo naye ni wale wale wa kitu kidogo hana lolote huyo kibonde tangu enzi za kampeni alikuwa anapiga vita sana upinzani huenda kapata hela kigodo kutoka kwa huyo mwenye uchungu wa kuvuliwa uwaziri pumbaavuuuuuuuuuuuu atakula jeuri yake sasa
Back
Top Bottom