msomi muhimu kwa manufaa ya nchi yetu,tangu auawe katika mazingira tatanishi hakuna uchunguzi thabiti juu ya kifo chake,nahofia kwamba mwanasiasa ndo muhimu kuliko tabibu,Mungu wetu awe nasi maombi yetu yatimizweProf. Jwani mwaikusa
Martin SikupyaKuna kijana aliuawa na polisi Iyunga sekondari kwenye mgomo wa wanafunzi jina limenitoka na mwaka pia.
Kuna kijana aliuawa na polisi Iyunga sekondari kwenye mgomo wa wanafunzi jina limenitoka na mwaka pia.
Kwa majina ya K tu ndio nayataja,
Kabeho......Alikuwa waziri awamu ya Mwinyi
Kighoma.....Alikuwa waziri awamu ya Mwinyi
Kombe...Alikuwa Usalama wa Taifa
Kibona...Alikuwa waziri awamu ya Mwinyi
Kolimba...Alikuwa katibu mkuu wa CCM
Endelea sasa hapo
wewe umemsahau KOLIMBA??? ila kuna wengine wana roho ya paka kama MWAKYEMBE na ULIMBOKA hawa watu wabishi kweli mwakyembe anatoka ngozi layer kumi lakini bado yupo
Kuna kijana aliuawa na polisi Iyunga sekondari kwenye mgomo wa wanafunzi jina limenitoka na mwaka pia.
yule mwongoza mgomo wa TRC aliyekufa asubuhi kwa shinikizo la damu akijiandaa kwenda kwenye mgomo-jina silikumbuki
wewe umemsahau KOLIMBA??? ila kuna wengine wana roho ya paka kama MWAKYEMBE na ULIMBOKA hawa watu wabishi kweli mwakyembe anatoka ngozi layer kumi lakini bado yupo
Kleruu!? Si aliyataka mwenyewe kwa kumchokoza Abdalah Mwamwindi? Hapo alikuwa akipigania haki gani?Dk kreluu