Sina neno kuona Kongo ipo nafasi ya pili nakubaliana moja kwa moja na utafiti wako hata kama umenidanganya mahali..Kongo si wanaume wala wanawake ngoma droo.
Eti ee kumbe wanawake hawapatagi upara mbona kama kuna Prof wakike anaupara lakini anaufunika na wigi halafu nimewaona kama watatu hv wakike wanaupara..hv nayo inakuwaje hapo mtaalamu.
Mtoa mada umetuanzia mbali sana..Ngono na Nywele za kichwa zinahusiana vip? ungeniambia nilitafuta dawa ya kuondoa nywele za sehemu za siri nikawa na paka sehemu za siri sasa naona mashine haifanyi kazi...Wewe utakuwa na tatizo lingine lakini pia hulazimishi kuendelea kuitumia hyo dawa.
Huyo Mwamba Paul Makonda anajiharibia mwenyewe, wasaidizi wa Rais ni wengi kwanini yeye ajitangazie ananguvu kuliko wengine kwa kusema yeye hatumi mtu anakuja mwenyewe kwani hao wanaotuma watu ni kina nani? Kauli hyo tata huenda ikawa inamaanisha, Yeye kisha aidiwa urais sasa anaona kuna watu...
Makosa ako nayo wote, vile huyo mwanadada ako mpumbavu ako analuka sarakasi kwenye transfoma ya umeme, kwanini asipigwe shoti?..Hela ya askari huwa hailiwi kizembe, kwani wanaisotea sana. japo na askari naye kazingua.
Kauli tata..Huwenda alishaaidiwa Urais anaona kuna wanao wanacheza karata ya kumpindua au anajisogeza karibu na Urais...Viongozi punguzeni kauli za vijembe tena kwa lengo la Urais..Urais hauji kama mnavodhani.Sasa mnatuonesha nini sisi Wananchi wenu?
True..na ndo wanaongoza kwa ujasus..sio wakuwadharau na kuwachukulia poa ni kuongea nao kwa umakini bila kufuata vichocheo vya mwili..lakini ni watu poa sana hasa mkikutanisha damu utakula vyake mpaka usaze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.