Recent content by MONEY IS NOT EVERYTHING

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Nje ya mada..Hivi wewe mtoa mada "MAGAMBA MATATU" ni mkubwa wako au mdogo wako (kuzaliwa).
  2. M

    JamiiForums Tanzania KCMC ikaangoni

    HII KESI NAYO ILUSHWE HUMU, SASA NI ZAMU YA "PETER KIBATALA" WAKILI MSOMI.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Labda ni kwamaslahi ya " Ngoja tuone panapo vuja.....labda ni kwa maslahi ya "chama" au maslahi ya "Taifa". Wanaosema yupo kwake sikubaliani nao kwani alikuwa anaishi Dunia ya kipekee? Hakuna watu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Bashungwa kakaa kisanii sana

    usanii umeona kwa huyo tu..viongozi wengi ni wasanii mbona "CHALAMILA" hutamtaja au huyo unabifu naye.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Hii hoja ya chama kimoja CCM wanatakiwa waijibie bila hasira......KATIBA MPYA haikwepi hapa....
  6. M

    JamiiForums Tanzania Responded Sekretarieti ya Ajira: Tumeboresha Mfumo wa Ajira Portal, ambao hawakufaulu usaili wanapewa ujumbe

    Hao wazee wa" Databank expired" ushauri wangu kwa mwaka unafuata waendelee kuhifadhiwa nafasi zikijitokeza wanyofolewe taratibu mpaka waishe kabla ya kutangaza nafasi zingine kwa kada hiyo hiyo... kwanza itapunguza hata gharama kwa serikali na watafutaji...lakini pia itaongeza morali kwa watafutaji.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Kesi imekuwa kesi nimwendo wa "Kumulikana" zingatia neno "Kumulikana".
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dereva wa lori auwawa na mlinzi wa puma petrol station Morogoro

    siku hizi hata vichaa wanaruhusiwa kumili bunduki na hayo ndo matokeo yake..Pole kwa familia.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    SHERIA ZINAPINDISHWA NA WATU WANATETEA HII NI KWASABABU YA UWEPO WA DALILI KUBWA YA VIASHIRIA VYA RUSHWA....KAMA TUNATETEA HUO MZOZO HAKUNA HAJA YA KUWA NA "MAHAKAMA"...TUKOMESHE RUSHWA KUZUIA YOTE HAYO.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Asili Halisi ya Mwenge wa Uhuru: Siri Yafichuka

    Inafikirisha.
Back
Top Bottom