Labda ni kwamaslahi ya "
Ngoja tuone panapo vuja.....labda ni kwa maslahi ya "chama" au maslahi ya "Taifa". Wanaosema yupo kwake sikubaliani nao kwani alikuwa anaishi Dunia ya kipekee? Hakuna watu.
Hao wazee wa" Databank expired" ushauri wangu kwa mwaka unafuata waendelee kuhifadhiwa nafasi zikijitokeza wanyofolewe taratibu mpaka waishe kabla ya kutangaza nafasi zingine kwa kada hiyo hiyo...
kwanza itapunguza hata gharama kwa serikali na watafutaji...lakini pia itaongeza morali kwa watafutaji.
SHERIA ZINAPINDISHWA NA WATU WANATETEA HII NI KWASABABU YA UWEPO WA DALILI KUBWA YA VIASHIRIA VYA RUSHWA....KAMA TUNATETEA HUO MZOZO HAKUNA HAJA YA KUWA NA "MAHAKAMA"...TUKOMESHE RUSHWA KUZUIA YOTE HAYO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.