kama CCM itaogopa maridhiano na katiba mpya japo sidhani kama wataogopa kwasababu ipo ndani ya hadi zao kwa wananchi, basi ni bora mambo ya vyama yasimamishwe kwa muda mpaka tupate Suluhu ya haya mambo ya siasa yanayoendelea..
kwanini gari za washawasha na mabomu ya machozi havikutumika kuwakamata waharifu? Je, kipi ni bora zaidi kati ya uhai na mali? Nikwamba raia hawanathamani ndani ya nchi yao na nguvu kazi ya taifa haina thamani sana kwenye taifa...Yote kwa Yote MARIDHIANO na KATIBA MPYA sambamba na kufumua mifumo...
Umemaliza kila kitu..ukitaka kujua mapungufu ya Chama fulani kwanza kabisa ujitoe kwenye wafia chama, ndipo utagundua Mambo mengi tena mengine ya Hovyo kabisa..Yote kwa yote kuondoa huo utata.MARIDHIANO na KATIBA MPYA sambamba na kufumua mifumo iliyopitwa na wakati ndo mwarobaini wa yote.
Kuna ukweli ndani yake japo watakupinga..Yote kwa Yote.MARIDHIANO na KATIBA MPYA itakayofumua mifumo iliyopitwa na wakati na kuludisha nguvu ya maamuzi kwa wananchi ndo mwarobaini wa yote.
nilikuwa na muda mrefu sijaludi kijjn.Umamani kukatokea msiba tukaenda kuzika, sasa tukiwa kwenye matanga tunakawa tunasalimiana nikajikuta natoa shkamoo kwa mtu niliemzidi, tukiwa tunaendelea na stori mbili tatu hapo msibani si akalopoka mwenyewe..mimi nimezaliwa mwaka fulani anazunguumza na...
CCM peke yake haijamwaga damu za waTz Hata waliosusia uchaguzi nao walisababisha kwanamna moja ama nyingne. Kwa ujumla siasa ndo imetufikisha hapa tulipo..njia mbadala MARIADHIANO, KATIBA MPYA itakayofumua mifumo dhalimu na kuwapa nguvu wananchi ya maamuzi ndio Mwarobaini wa hili jambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.