Recent content by MONEY IS NOT EVERYTHING

  1. M

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    bonge alikuwa kisiasa zaidi anayetaka kukuua hajitangazi tena huwezi kumdhania kirahisi muache Bonge wawatu..
  2. M

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    hii kauli ifute mara moja..unajua umauti ulimpomkutia? Hebu angalia na age!
  3. M

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    hahahaha ! Acha kuleta taharuki zisizo na maana au wamekutuma?
  4. M

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Sina neno kuona Kongo ipo nafasi ya pili nakubaliana moja kwa moja na utafiti wako hata kama umenidanganya mahali..Kongo si wanaume wala wanawake ngoma droo.
  5. M

    Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Eti ee kumbe wanawake hawapatagi upara mbona kama kuna Prof wakike anaupara lakini anaufunika na wigi halafu nimewaona kama watatu hv wakike wanaupara..hv nayo inakuwaje hapo mtaalamu.
  6. M

    Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Mtoa mada umetuanzia mbali sana..Ngono na Nywele za kichwa zinahusiana vip? ungeniambia nilitafuta dawa ya kuondoa nywele za sehemu za siri nikawa na paka sehemu za siri sasa naona mashine haifanyi kazi...Wewe utakuwa na tatizo lingine lakini pia hulazimishi kuendelea kuitumia hyo dawa.
  7. M

    Makonda, Kumbe kuna Watu wanapanga Njama za Kuharibu na Kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake kwa Ndoto za 2030? Ni kina nani hao?

    Huyo Mwamba Paul Makonda anajiharibia mwenyewe, wasaidizi wa Rais ni wengi kwanini yeye ajitangazie ananguvu kuliko wengine kwa kusema yeye hatumi mtu anakuja mwenyewe kwani hao wanaotuma watu ni kina nani? Kauli hyo tata huenda ikawa inamaanisha, Yeye kisha aidiwa urais sasa anaona kuna watu...
  8. M

    Askari polisi Kenya ajichanganya

    Makosa ako nayo wote, vile huyo mwanadada ako mpumbavu ako analuka sarakasi kwenye transfoma ya umeme, kwanini asipigwe shoti?..Hela ya askari huwa hailiwi kizembe, kwani wanaisotea sana. japo na askari naye kazingua.
  9. M

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Kauli tata..Huwenda alishaaidiwa Urais anaona kuna wanao wanacheza karata ya kumpindua au anajisogeza karibu na Urais...Viongozi punguzeni kauli za vijembe tena kwa lengo la Urais..Urais hauji kama mnavodhani.Sasa mnatuonesha nini sisi Wananchi wenu?
  10. M

    Kwenye familia zetu wenye hela ndo wanaopewa lawama na ndugu

    pia usipokuwa na hela hutojua ndugu zako wote hadi upande wa bibi yake na bibi..pata pesa utambulishwe ndugu zako wote.
  11. M

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    True..na ndo wanaongoza kwa ujasus..sio wakuwadharau na kuwachukulia poa ni kuongea nao kwa umakini bila kufuata vichocheo vya mwili..lakini ni watu poa sana hasa mkikutanisha damu utakula vyake mpaka usaze.
  12. M

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Kuna jambo linatengenezwa juu ya huyo Dr hapo wanataka kumtengenezea ajali..halafu huwa najiuliza hii michezo nani anaifanya?
Back
Top Bottom