Recent content by MONEY IS NOT EVERYTHING

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naisubiria kwa hamu El Classico ijayo tuwakande Real Madrid. Hilo pira litakalopigwa na Barça sipati picha. Rodri ndani!

    Msipo chukua UEFA mfukuzeni kocha. Mnakikosi kipana na kizuri.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Oral ya utumishi kwa CAG (NAOT)

    Kuwasemea kwa baba au mama ya kwamba hawawezi kusimamia miradi kwahali ya ubora unaotakiwa ,lakini huyu mtoto ambaye ni mhasibu wanamuingiza mkenge.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Oral ya utumishi kwa CAG (NAOT)

    Kwahiyo unawachongea,,,Wahandizi + wamanunuzi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Kwamba tutarajie Nothing kwenye hiyo report? Nahakuna watakao washiwa moto. Mwenye report yake.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    kama hakuna moto unakaowaka au kuwashwa..haina haja ya kuharibu pesa bure Za uchunguzi.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Hili bado ni fukutu tu moto bado haujawaka. Natarajia uchunguzi utakuwa "True and fair view". Chanzo + Utekelezaji=Wahusika.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nabii Tito akamatwa na Polisi Dar

    Kichaa kaingia ndani ya 18, ataenda kuwakatikia mauno huko.
  8. M

    JamiiForums Tanzania WANANCHI WACHOMA SHAMBA LA MKULIMA MWEKEZAJI MANYARA - MGOGORO WA ARDHI WAHUSISHWA

    Pole yake na pia pole yao.
  9. M

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko kuhusu ajira za Vijana 436 walioahidiwa ajira baada ya kujenga Ikulu ya Chamwino

    Kwakweli, Serikali hili nalo mliangalie kwa jicho la tatu. Kazi ni kipimo cha Utu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Asusiwa chakula msibani kisa huwa hali kwenye misiba ya wengine

    hahaha ! Bwa shekhe nasikia huko ukifiwa, unalia huku unaulizia bia, mali za marehemu na n.k..mfano, chozi la kwanza unaulizia bia, chozi la pili unaulizia rambirambi kama zimehifadhiwa sehemu salama, chozi la tatu unaulizia nyaraka za marehemu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Boniphace Mwabukusi ni kibaraka na pandikizi la CCM. Hafai kuaminika hata kidogo

    mmmmmh! Kwa kauli kama hizi sijui hao manesi unaowahudumia kama wapo salama. Nyie ndo wale chama kinawalinda hata mkifanya magendo ya nchi.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Pole sana ndugu. kusanya huo ushahidi halafu nenda katoe taarifa kituo cha police. Naamini watakamatwa..Usisahau kutuletea mrejesho tena.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mkakati maalumu wa kukiimarisha Chama cha Mapinduzi

    mi nadhani wengine huwa wanapima upepo ila moyoni inabaki kuwa siri yao..Ndo maana wafata mkumbo wanaumiaga sana.
Back
Top Bottom