Recent content by MONEY IS NOT EVERYTHING

  1. M

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    huko ndo sitaki kupasikia..ajira kichefuchefu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    kubali ukatae nguvu ilitumika ni kubwa sana.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kama tunavyowaambia CCM hii nchi sio yenu peke yenu. Vivyo hivyo na CHADEMA hamna hatimiliki ya Ukweli na Demokrasia peke yenu

    kama CCM itaogopa maridhiano na katiba mpya japo sidhani kama wataogopa kwasababu ipo ndani ya hadi zao kwa wananchi, basi ni bora mambo ya vyama yasimamishwe kwa muda mpaka tupate Suluhu ya haya mambo ya siasa yanayoendelea..
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    sio kweli..hyo ni sawa na mtu anamuuwa panya kwa risasi eti kwakisingizio kwamba panya huyo alitaka kung'ata..
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    kwanini gari za washawasha na mabomu ya machozi havikutumika kuwakamata waharifu? Je, kipi ni bora zaidi kati ya uhai na mali? Nikwamba raia hawanathamani ndani ya nchi yao na nguvu kazi ya taifa haina thamani sana kwenye taifa...Yote kwa Yote MARIDHIANO na KATIBA MPYA sambamba na kufumua mifumo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kama tunavyowaambia CCM hii nchi sio yenu peke yenu. Vivyo hivyo na CHADEMA hamna hatimiliki ya Ukweli na Demokrasia peke yenu

    Umemaliza kila kitu..ukitaka kujua mapungufu ya Chama fulani kwanza kabisa ujitoe kwenye wafia chama, ndipo utagundua Mambo mengi tena mengine ya Hovyo kabisa..Yote kwa yote kuondoa huo utata.MARIDHIANO na KATIBA MPYA sambamba na kufumua mifumo iliyopitwa na wakati ndo mwarobaini wa yote.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Zitto: Tumewapa Idara ya Usalama Mamlaka ya Kukamata, Utekaji umeongezeka. Ndio maana mnasikia “Watu wasiojulikana”

    Kuna ukweli ndani yake japo watakupinga..Yote kwa Yote.MARIDHIANO na KATIBA MPYA itakayofumua mifumo iliyopitwa na wakati na kuludisha nguvu ya maamuzi kwa wananchi ndo mwarobaini wa yote.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Watu wanazeeka aisee! Kweli mimi wa kuwapa shikamoo classmates?

    nilikuwa na muda mrefu sijaludi kijjn.Umamani kukatokea msiba tukaenda kuzika, sasa tukiwa kwenye matanga tunakawa tunasalimiana nikajikuta natoa shkamoo kwa mtu niliemzidi, tukiwa tunaendelea na stori mbili tatu hapo msibani si akalopoka mwenyewe..mimi nimezaliwa mwaka fulani anazunguumza na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watu wanazeeka aisee! Kweli mimi wa kuwapa shikamoo classmates?

    Nimeshaacha kuamkia hovo hovo tangu nilipo muamkia mdogo wangu niliemzidi miaka 6 ndo ilikuwa mwanzo na mwisho..
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    TUMESHAZOEA KUTAPELIWA NAOMBA UTUACHE..MBONA HATA KWENYE SIASA TUNATAPELIWA TUNAKUBALI.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    CCM peke yake haijamwaga damu za waTz Hata waliosusia uchaguzi nao walisababisha kwanamna moja ama nyingne. Kwa ujumla siasa ndo imetufikisha hapa tulipo..njia mbadala MARIADHIANO, KATIBA MPYA itakayofumua mifumo dhalimu na kuwapa nguvu wananchi ya maamuzi ndio Mwarobaini wa hili jambo.
Back
Top Bottom