Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,598
- 15,432
Kama anazulula tuu anapata wapi maitaji yake wamchunguze
Wagonjwa wa akili wamemkamata mwenzao...Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Tito Onesmo Machibya, maarufu kama “Nabii Tito”, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo, matusi na uchochezi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, mtuhumiwa alikamatwa usiku wa Agosti 15, 2026 katika eneo la Sinza Makaburini, wilayani Ubungo, jijini Dar es Salaam.
Polisi wamesema uchunguzi kuhusu tuhuma hizo unaendelea, huku taratibu za kisheria zikikamilishwa ili mtuhumiwa afikishwe katika mamlaka husika kwa hatua zaidi.
Lahaulaaa!😳Hawawezi kumpeleka huko Milembe.Hao ni wafiraji.Watakuwa wamekumbuka ufirauni wao ndiyo wamejibebea "zigo remix" wakabembee nalo.
Siyo tuhuma ngeni kwao.Wakanushe kama ni uongo.Wahanga wengi wametoa malalamiko yao.Refer;Mwandishi wa habari kutoka KE aliyetaka kuhudhurua kesi ya Lissu.Lahaulaaa!😳
Tuhuma nzito hizo Sheikh
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Tito Onesmo Machibya, maarufu kama “Nabii Tito”, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo, matusi na uchochezi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, mtuhumiwa alikamatwa usiku wa Agosti 15, 2026 katika eneo la Sinza Makaburini, wilayani Ubungo, jijini Dar es Salaam.
Polisi wamesema uchunguzi kuhusu tuhuma hizo unaendelea, huku taratibu za kisheria zikikamilishwa ili mtuhumiwa afikishwe katika mamlaka husika kwa hatua zaidi.
Anaenda vacation. Kula bure..kulala bure. Ukuta bureApambane na hali
RIP in AdvanceJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Tito Onesmo Machibya, maarufu kama “Nabii Tito”, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo, matusi na uchochezi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, mtuhumiwa alikamatwa usiku wa Agosti 15, 2026 katika eneo la Sinza Makaburini, wilayani Ubungo, jijini Dar es Salaam.
Polisi wamesema uchunguzi kuhusu tuhuma hizo unaendelea, huku taratibu za kisheria zikikamilishwa ili mtuhumiwa afikishwe katika mamlaka husika kwa hatua zaidi.
Shida nini jamaa yangu mtu kuhubiri? Dah inasikitisha.Kamateni na hawa wakora wanaohubiri katika vìtuo vya mabasi. Wanakera.
Kwa hivyo Tito anapakuliwa nya muda huu? 😜🤣🤣Siyo tuhuma ngeni kwao.Wakanushe kama ni uongo.Wahanga wengi wametoa malalamiko yao.Refer;Mwandishi wa habari kutoka KE aliyetaka kuhudhurua kesi ya Lissu.
Wewe waache tu.Tito hana kaba yule.Lazima aje awatangaze styles zote walizomtunuku.Kwa hivyo Tito anapakuliwa nya muda huu? 😜🤣🤣