Kakosea kuitaja hadharani mbinu ya kiinteligensia aliyoitumia, badala yake angeifanya kuwa siri kwa ajili ya muendelezo wa kuwaumbua viongozi watoa/wala rushwa.
Mkuu hii hangover yako imeongea ukweli mtupu, wanaomponda na kumchukia huyu dogo hawana sababu ya msingi nje ya wivu, roho mbaya na kuchukia namna alivyofanikiwa, watanzania wengi ndivyo walivyo....wanapenda wote muishi kama mashetani ndio furaha yao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.