Recent content by money agenda

  1. M

    Ya Mungu mengi

    nimecheka sana
  2. M

    Mlete mwanao hapa hutajuta kabisa

    Unamaanisha nini?
  3. M

    Nassari na Lema, mmeukabidhi ushahidi wenu TAKUKURU?

    Ni kweli wanapaswa kuupeleka ushahidi huo kwa taasisi husika, swala la either umefanyiwa kazi ama vinginevyo ni agenda nyingine.
  4. M

    CHADEMA na Serikali wampe Joshua Nassari ulinzi maalum

    Kakosea kuitaja hadharani mbinu ya kiinteligensia aliyoitumia, badala yake angeifanya kuwa siri kwa ajili ya muendelezo wa kuwaumbua viongozi watoa/wala rushwa.
  5. M

    Mlete mwanao hapa hutajuta kabisa

    Hiyo ada ni kwa wote boarding na day?
  6. M

    DC Mnyeti: Nilichangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi CHADEMA

    Hata ktk masomo yake chuoni saut alikuwa ni miongoni mwa wanachuo waliokua wakiongoza kwa kuropoka pumba muda wote!
  7. M

    Obama atokwa na machozi alipomfikisha mwanawe chuo kikuu cha Harvard

    Mkuu naona umeamua kbs kuwaharishia!
  8. M

    Wanawake mtuonee huruma sisi wanamume

    Haujasikiliza upande wa Monica lkn, huenda nae analo la kusimulia
  9. M

    Hivi kwanini baadhi ya Watanzania wanataka Diamond aanguke?

    Mkuu hoja yako inamashiko, tena ya kizalendo!
  10. M

    Hivi kwanini baadhi ya Watanzania wanataka Diamond aanguke?

    Mkuu hii hangover yako imeongea ukweli mtupu, wanaomponda na kumchukia huyu dogo hawana sababu ya msingi nje ya wivu, roho mbaya na kuchukia namna alivyofanikiwa, watanzania wengi ndivyo walivyo....wanapenda wote muishi kama mashetani ndio furaha yao!
Back
Top Bottom