DC Mnyeti: Nilichangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi CHADEMA

Mnyeti ni kijana mmoja wa ovyo sana,wao na Gambo kuna wakati walitaka mpaka kupigana sbb kila mmoja anataka kuonekana kwa Sizonje

Huyu Mnyeti sifa zatamuua,toka akiwa shule ya Wazazi wa CCM ya Tegeta,anafahamika kwa unafiki wake na kujipendekeza,watoto wa Arusha wamemuumbua anabaki kusema alitoa michango ya harusi,yaani clip yote ye anajibu hapo tu tena kwa majibu mepesi hivyo?Hovyo kweli kweli
Kumbe huyu Bw mdogo alisoma Tegeta high karibu na kituo cha polisi?
 
Mimi hapo sioni jipya
Watoto wamefwata tabia za baba kwa hiyo msisumbue vichwa vyenu.
Hebu hicho waliochofanya DC Mnyeti na RC Gambo kina tofauti gani na kile kinachofanywa na malaika mtoa roho anachokifanya cha kutoa rushwa ya vyeo kama alivyofanyakwa
1; Mwenyekiti wa ACT wazalendo
2: Augustine Mrema
3: professor Lipumba
4: pole pole
5:
Kwa uchache tu
 
Hapa amethibitisha kuwa video ni za uhalisia. Swali la kujiuliza ni;
Je video hizo zina viashiria vyovyote vya rushwa au ukosefu wa maadili?
 
Mnyeti ni kijana mmoja wa ovyo sana,wao na Gambo kuna wakati walitaka mpaka kupigana sbb kila mmoja anataka kuonekana kwa Sizonje

Huyu Mnyeti sifa zatamuua,toka akiwa shule ya Wazazi wa CCM ya Tegeta,anafahamika kwa unafiki wake na kujipendekeza,watoto wa Arusha wamemuumbua anabaki kusema alitoa michango ya harusi,yaani clip yote ye anajibu hapo tu tena kwa majibu mepesi hivyo?Hovyo kweli kweli
Mkuu mtu mpumbavu ni mpumbavu tu
waache wajikanyage kanyage
 
Wapinzani hawapelekewi maendeleo kwa makusudi ili wapate kusingizia kuwa upinzani ni kukuza kero kwa wananchi, kodi hulipwa na watanzania wote pasipo kuangalia uanachama, cha ajabu kwenye maendeleo ccm huleta Ubaguzi
Nadhani umesahau mkuu kipindi ch Bunge la bajeti,kun hoja ziliibuliwa kwamba " Kwa wale wote wanaoipinga bajeti,wasipelekewe pesa za miradi ya maendeleo kwenye maeneo yao"
 
Mnyeti ni kijana mmoja wa ovyo sana,wao na Gambo kuna wakati walitaka mpaka kupigana sbb kila mmoja anataka kuonekana kwa Sizonje

Huyu Mnyeti sifa zatamuua,toka akiwa shule ya Wazazi wa CCM ya Tegeta,anafahamika kwa unafiki wake na kujipendekeza,watoto wa Arusha wamemuumbua anabaki kusema alitoa michango ya harusi,yaani clip yote ye anajibu hapo tu tena kwa majibu mepesi hivyo?Hovyo kweli kweli
Hata ktk masomo yake chuoni saut alikuwa ni miongoni mwa wanachuo waliokua wakiongoza kwa kuropoka pumba muda wote!
 
wanapo hama vyama vyenu msiwafatiliefatilie mbna lowasa alipoingia na kugombea uraisi ndani ya wiki moja mbona hamkumfatlia mbowe, ya madiwani yanamacho ya mwenyekiti wenu hayana macho ,anayempinga lowasa anyoshe mkono daah hapo ndoo nilichoka, anayemkubali anyooshe mkono duuh , mjitafakar wenyewe wanaoacha wameacha kwa matakwa yao wenyewe haipo sababu yakuwafatilia acheni usultani
Unajiona umeandiiiiiiika
 
DC ARUMERU MHE. MNYETI AJIBU MAPIGO YA NASSARI NA LEMA Dc Mnyeti: "

Video zote anazosambaza Nassari ni za mikutano yangu nikiwa Kwenye shughuli za maendeleo za Wilaya,anababaisha wasiojitambua"

DC ARUMERU: "Video zote anazosambaza Nassari ni za mikutano yangu nikiwa Kwenye shughuli za maendeleo za Wilaya,upinzani huu umekosa dira"

DC MNYETI: "Nilimchangia mchango wa harusi diwani aliyehamia ccm kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi waliopo CDM akiwemo Nassari"

DC MNYETI ARUMERU: "Nassari aweke pia video ambazo tumekaa nae akinieleza matatizo ya jimboni kwake."

DC ARUMERU: "Watumishi kumchangia harusi Diwani ndiyo rushwa wanayosema Chadema.Ila nilipoombwa kuchangia matibabu ya Lissu haikuwa rushwa"

Credit: DarMpya
Rais Nixon aliweka tapes kwenye ofisi yake na kwenye ukumbi wa Watergate, ilipojajulikana iksbidi awe impeached akaacha kazi. Hizi tape ziliwekwa na nsni kwa ruhusa ya nani? Mkuu wa Wilaya hutembelewa na Rais na viongozi wengi nyeti kwa vile ni Mwenyekiti wa Kamati ys Ulinzi na Usalama; hivyo lazima kuna siri nyingi za nchi hii zimepelekwa Kenya na kwingineko. Lema na Nassari washitakiwe kwa ujasusi na kwa uhaini.
 
Back
Top Bottom