mm i like hyo life style coz wabongo watapenda wakufatilie kila unachofanya hadi unapolala watataka wapajue........but ukiwa busy na yako no body will bother you
wewe nae ni kilaza mwenzie!! we kama unamfahau mkeo ni mbululu ulitakiwa umpe desa alimeze akifika kwenye interview akateme tuu,,,, ona sasa unanyimwa utamu shaur yakoj
jaribu kuwa mbunifu kaka we vip eti escrow kwahyo hyo dating yenu mnaendaga bungeni au??
kuna mambo mengi ya kujadili esp yanayohusu mahusiano yenu sasa hayo mambo tena ya maiwedha duu!! huenda anakushangaa kulingana na topics zako ndo mana anaamua kukaa kimya!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.