Anajutia kosa. Unajua, sisi ni binadamu, hili suala hakuna mwanamke asiyejua wanaume wenzetu udhaifu wanao, na siku hizi wanawake pia. Cha msingi akutunzie heshima, ametunza heshima yako lakini bahati mbaya inmetokea, alikuwa mdogo, na zawadi akaleta, samehe, maisha yaende mbele. Jamani tusijipe...